Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,252
- 113,647
Ningekuwa Marekani nigempigia kura Obama. Bila kujali policies zake. Kisa, ana damu ya Kiafrika (hasa Afrika mashariki). Nukta.
Good for you....
Sitashangaa ulimpigia kura Kikwete kwa kudhani ana sura nzuri pia