Rais Mteule Barack H. Obama!

That is true,mpaka sas Jm ameishalambwa mweleka wa maana, kwa hiyo tutazamie ushindi wa kishindo.
 
To me whether Its BO or MacCain I gues hilo tuwaachie wa-USA.

Labda sisi tunajifunza nini?

Naweza kusema Ushindi wa BO hautabadilisha madhira ya mtu mweusi popote pale duniani. LAKINI itapeleka message kwamba we live in a world of possibilities whether its black, white, yellow..with determination one can jump the barriers. Kama wenzangu walivyosema Obama ni symbol ya historia ya mtu mweusi ambavyo alinyanyasika na anazidi kunyanyasika mpaka leo. Perhaps itajenga confidence kwamba we can move from where we are and shatter frontiers available. Itatupa confidence!

Lakini vile vile..huu uchaguzi unaonyesha ni JINSI gani USA ilivyo mfano wa demokrasia ya kiliberali katika nchi za magharibi. TRUST me, Western Europe are happy for Obama`s candidacy not because they really like Obama..its partly because they know with Republicans they are always consigned to the dustbin of irrelevance. They are happy for a person in the colour of Obama, but European countries can NEVER elect to the highest office a person like him! We all know how black man is treated in France, Germany nk... Ubaguzi upo na utaendelea kuwepo..partly because ya historia ambayo imemhukumu mwafrika kama kiumbe mnyonge asiye na thamani. We can inteprete and reinterprete history but we can never repeal it. Lakini vile vile hatuwezi kuwa watumwa wa historia. Na kwa hilo BO ametuonyesha njia kwamba inawezekana. Whatever the outcome. But he has shown the way..wengine watakao kuja nyuma yake..wataendeleza alichokifanya yeye!

Kifupi ni kwamba apart from AFRICA...mataifa mengine yan embrace candidacy ya huyu bwana kwa sababu wanajua maslahi yao na uchumi wao utaathirika sana akiwepo another Bush. To we Africans, we know for sure..Obama will never adress our Darfur, our Congo or our permanent scar on our conscious..Somalia..But..it raises hope and admiration to see that one of our own has defied prophets of doom to be where he is. Na sisi inatupa nguvu kwamba tukijitahidi tutafika tunapotaka.

Kumlinganisha JK na BO nadhani we miss something. BO hawezi kuvurunda tunavyodhani kwa sababu kuna internal checks and balances ambazo zimejengwa miaka mia mbili iliyopita ambazo zinaweka mipaka kipi afanye kipi asifanye. JK hana mipaka hiyo..he can do whetever he wants..ndo maana kawasamehe mafisadi and we wananchi tuko kimya tunashangilia hotuba! Kama kungekuwa na checks and balances zilizojengwa na waasisi wetu akina Nyerere..perhaps even Kiwete wouldnt be doing what he is doing. Ndo maana historia ya nchi yetu mpaka leo haiwezi kukamilika bila kuangalia michango ya waasisi wa taifa letu. The differences are striking..kuwalinganisha BO na JK hapa..ni kama kulinganisha limau na papai!

Mimi ndo maana mpaka kesho kutwa nampenda Nyerere, lakini nasikitika sana kwa katiba aliyotuachia! Ni katiba ambayo itatucost vizazi na vizazi maana wanaofaidika na hiyo katiba kamwe hawawezi kuibadilisha! so is JK! Nyerere had that opportunity, lakini kwa personal reasons akaona hana haja ya kuetengeneza mazingira bora kwetu wote kushiriki siasa...

K wa anayebisha..anahitaji.. elimu ya uraia kujua exactly nini mchango wa mwasisi wa taifa letu MWALIMU katika utawala tulionao. Na wote uko centred kwenye katiba mbovu!
 
DIXVILLE NOTCH, N.H. – Barrack Obama came up a big winner in the presidential race in Dixville Notch and Hart's Location, N.H., where tradition of having the first Election Day ballots tallied lives on.
Democrat Obama defeated Republican John McCain by a count of 15 to 6 in Dixville Notch, where a loud whoop accompanied the announcement in Tuesday's first minutes. The town of Hart's Location reported 17 votes for Obama, 10 for McCain and two
We are expecting the results to be the same in all the states, so keep on praying to your God.
 
DIXVILLE NOTCH, N.H. – Barrack Obama came up a big winner in the presidential race in Dixville Notch and Hart's Location, N.H., where tradition of having the first Election Day ballots tallied lives on.
Democrat Obama defeated Republican John McCain by a count of 15 to 6 in Dixville Notch, where a loud whoop accompanied the announcement in Tuesday's first minutes. The town of Hart's Location reported 17 votes for Obama, 10 for McCain and two
We are expecting the results to be the same in all the states, so keep on praying to your God.
 
DIXVILLE NOTCH, N.H. – Barrack Obama came up a big winner in the presidential race in Dixville Notch and Hart's Location, N.H., where tradition of having the first Election Day ballots tallied lives on.
Democrat Obama defeated Republican John McCain by a count of 15 to 6 in Dixville Notch, where a loud whoop accompanied the announcement in Tuesday's first minutes. The town of Hart's Location reported 17 votes for Obama, 10 for McCain and two


We are expecting the results to be the same in all the states, so keep on praying to your God
 
Kuna mamilioni ya watu katika bara letu ambalo wanasubiri kwa hamu ushindi unaotarajiwa wa Obama kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi huko Marekani. Kuna tafrija na sherehe zilizoandaliiwa sehemu mbalimbali ambapo watu weusi watasimama kufurahia ushindi wa Obama.

Sitoshangaa wengi wanaosubiri huo ushindi wa Obama wanafanya hivyo si kwa sababu wanakubaliana na sera zake zote (kuongeza kodi, kugawanya utajiri n.k) au misimamo yake ya kijamii (kuunga mkono utoaji mimba au haki za mashoga n.k) bali wanafanya hivyo kwa sababu Obama ni "mweusi mwenzetu".

Hili hata hivyo linanikumbusha jinsi watu walivyomshabikia Kikwete mwaka 2005 licha ya kuwa hakuwa na rekodi yeyote, hakuwa tayari kufanya midahalo na wagombea wenzake na alikuwa na maneno matamu ya "change" yaliyotumiwa kwa mbiu ya "ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya".

Wapo watu wale wale ambao leo wanamgeuka Kikwete ndio leo wanakumbatia kwa haraka maneno ya "change" na ya kuwa "Yes we can". Lakini nyuma ya ushabiki huu Watanzania na watu wa mataifa mengi ya dunia wanachoshabikia kule Marekani kwa kweli ni Rangi; kwamba hatimaye Taifa lenye watu wengi weupe likaongozwa na mtu mweusi!

hapa najikumbusha maneno ya Mwalimu "Sisi bwana hatutukuzi rangi, tunatukuza mtu bwana"!

Yawezekana ulimwengu ukakosea katika ushabiki wake wa Obama kama Watanzania asilimia 80 ya wapiga kura walivyokosea walipomshabikia Kikwete. Kweli Obama ataweza kutimiza ahadi yake ya "kuibadili Marekani, na kuibadili dunia"?

Yawezekana kiongozi ambaye watanzania na nchi za ulimwengu wa tatu zilipaswa kumshabikia ni McCain na siyo Obama kama wangeamua tu kuweka rangi pembeni? Well, masaa 24 yajayo will give us a clue.

Hata maamuzi ya CC ya CCM ya kuhusu Nape yalikuwa mazito kwetu. Tumeishia kuwa watu wa kwa neema tu badala la kupigana. Mwenzenu akipigana sisi tunasema Mungu amsaidie hata haitoki moyoni.
 
Kuna mamilioni ya watu katika bara letu ambalo wanasubiri kwa hamu ushindi unaotarajiwa wa Obama kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi huko Marekani. Kuna tafrija na sherehe zilizoandaliiwa sehemu mbalimbali ambapo watu weusi watasimama kufurahia ushindi wa Obama.

Sitoshangaa wengi wanaosubiri huo ushindi wa Obama wanafanya hivyo si kwa sababu wanakubaliana na sera zake zote (kuongeza kodi, kugawanya utajiri n.k) au misimamo yake ya kijamii (kuunga mkono utoaji mimba au haki za mashoga n.k) bali wanafanya hivyo kwa sababu Obama ni "mweusi mwenzetu".


Kwa uzito na umuhimu wa hoja yako, nachelea kukosoa chochote hususan namna ulivyowasilisha hoja yenyewe. Ujumbe nimeupata!




.
 
Nafikiri tunahitaji kusubiri uchaguzi wetu wa 2010 ili tuwachambue na kuwajengea hoja wagombea wetu wakati huo.Kwa huu uchaguzi wa marekani tubakie kuwa mashabiki tu ambao hawawezi kuathiri matokeo ya uwanjani.

Hoja zinazojengwa humu na wachangiaji ambao kila mmoja anawakilisha upande anaoshabikia naona kama ubishi wa mashabiki wa yanga na simba ambapo haijalishi timu pinzani ina wachezaji wazuri kiasi gani lakini bado utatafuta cha kusema ili kuiponda.

Ushindi wa Barack Obama (mungu saidia),utabadilisha sana namna suala la race linavyokuwa linashughulikiwa duniani kote.Litatoa funzo kwamba hata weusi wanaweza na hivyo kutupa kujiamini zaidi (hili ni pyshological zaidi).

Ni imani yangu kuwa wapiga kura wa marekani including wengine mliopo humu wenye makaratasi mtamchagua Barack Hussein Obama.

Sisi tukipigiwa ngoma tutacheza japo uchaguzi si wetu.
 

Sasa hivi Obama anaungwa mkono dunia nzima isipokuwa Israel tu. Japan, China, East and West Europe, Canada, Russia, North and South Korea, Middle East na Africa yote mgombea wanayemuunga mkono ni Obama. Kwa hiyo utaona kwamba Obama ana mvuto mkubwa sana duniani kote na kama angekuwa anagombea katika nchi yoyote ile duniani with exception ya Israel angeshinda ushindi wa kishindo kikubwa sana. Walimwengu wengi watakuwa katika majonzi kama Obama akishindwa. Kila la heri Obama.

Hivi kumbe Israel hawamuungi mkono messiah!! Ajabu kweli. Umejuaje lakini na wewe?

Acheni utani wa kumlinganisha Obama na Nyerere jamani. Mtu hata kazi hajaanza, mnaanza kumlinganisha na magwiji. Naamini hata yeye hatakuwa tayari kukubali kulinganishwa na Nyerere. Ni aibu. Acheni basi afanye kazi ndio tuanza kufanya hizo comparisons.

Kwa upande wa Afrika nakubaliana na MKJJ kuwa wengi inawezekana wanamuunga mkono kwa sababu ya rangi yake; hakuna ushahidi hata hivyo wa kuthibitisha hili. Lakini sio wote, wengine sisi tumekuwa loyalists wa Democrats kwa miaka mingi. Mbona wakati wa mchakato wengine tulikuwa upande wa Fighter Hillary? I think Obama alishavuka level ya kuungwa mkono kwa sababu ya rangi yake.
 
Mwanakijiji nimesoma argument yako, sema nimesikitika kuona jinsi ulivyo articulate kuhusu Obama policy. Kusema kweli umeonyesha luck of understanding ya American Politics. Kumfananisha Obama sawa na RobinHood yaani rob the rich and give the poor ni muona wa watu wasio fahamu American politics. Kwa miaka yote Ambayo America imekuwepo theory zote wanazotumia ni either trickle up or down. Na zote hazina haki katika group moja la watu. Kama ni high tax kwa matajiri, au high tax cut kwa matajiri and zero tax cut kwa middle class.

Bill Clinton aliingia madarakani na kuchange tax code ya Regan na kupeleka mpaka 39.6 kwa corporate tax jee hii haikuwa kuwagawanya utajiri?, vile vile during Regan time yeye aliongeza umasikini at the bottom na kuwatajirisha matajiri jee hii sio rob the poor and give the rich?

Progressive taxation haiko fair kwa kundi lolote lile. Ndio maana unaona watu kama Ron Paul wanaamini kuwa na only sales tax.

Obama not only kuwa ni mweusi, lakini some of his policy zinaweza kuchange world view toward America na ndio maana unaoana ana high influance nje ya US. Mfano, his policy toward foreign policy. Obama believes on dialogue between those countries which hate US, something which JKF did. Vile vile Obama anaamini kuhusu umuhimu wa America kuondoka Iraq, something which is very important kwa war on terror.

I don't agree na policy zake za Economy, but i neither agree na za McCain either. Sababu McCain anacho preach yeye ni freezing of spending by reduce government spending. so, neither of them have smart economical policy (according to Paul Krugerman)

Kufananisha JK and Obama ni kumtusi Obama. JK anafanana labda na Bush.

Obama doesn't support abortion wala mashoga, but he believe people should make their own decision. Kwani conservative wanaamini nini si free of government kwenye maisha ya watu (sean Hannity, Rush Limbaugh) that is what they're preaching. So, why do you judge Obama kwamba ni supporter wa Arbortion? Do you believe government should tell people when to get baby? and how? or Government should tell people who to date and what gender? I think the arguments should be on individual and not on central government.

Argument ya socialism ambayo Sen. McCain ameleta doesnt make sense. America imepitisha bill ya Bil 700 few weeks ago, what you called that? How about McCain movement ya kuchukua Bil 300 na kununua Bad Mortgage, that sound like socialism, or bellout of AIG? How about more regulations? Capitalism believe on free market, let demand and supply predict everything. However, McCain is cheerleader of regulation.

Capitalism is dead. You either like or not......
 
"we can take 12 more hours of Mwanakijiji attacks but we cannot take eight more years of George Bush policies"-Change is comming To the World Tanzania!!!!!!!
 
Pamoja na ukweli kwamba huenda wengi wa washabiki/wapenzi wa Obama hawajui contents za policies za Obama lakini lazima tujue na kutambua The Nature of Human Being ikoje.

Siku zote nafsi ya mtu ni ya 'kibinafsi' au kwa lugha ya kiuchumi ni yaki-capitalist, hivyo basi siku zote we normally feel much more sympathetic to associate/support with those people who have similar traits as ours, kitu kama kuongea lugha moja, rangi, jinsia nk. ni vigezo vikubwa sana (both directly/indirectly)

Binafsi am supporting Obama, ukiniuliza why, pengine nitasema napenda policies zake, courtesy etc lakini at the end of the day lazima nikiri kuwa kwa yeye ku-share the same color na mimi somehow somewhere kume-influence mtizamo wangu juu yake.

Then, kama wachangiaji wengine hapo awali walivyosema, for decades if not centuries rangi nyeusi imeonekana ni 'rangi ya nuksi', it cant take any iniative,etc from education institutions to football grounds, kwa wale wanaoishi nje ya Africa wanaweza kuwa mashahidi wa hili na pengine sometimes back they have been victim of discrimination, JE NI NANI LEO HII HATOPENDA KUONA OBAMA ANAKUWA RAISI WA USA?, nchi yenye historia mbaya ya Disrimination?

Obama, bila kujali kama he will win the race and be a recipe to Africa Problems or what, he a signal of HOPE!, HOPE for black people, HOPE for the poorest people, HOPE for the marginalized, HOPE for the undermined citizens by arnachists, HOPE for the destistuted, HOPE for the disenfranchised, and a LESSON that nothing can be taken for granted as far as the planet earth is concerned-the sign that any strong anarchy regime under the sun CAN GO DOWN SOMETIMES IN FUTURE!

Obama have pave the way forward for us, Obama is the sign of HOPE...lets follow the path...!
 
Kuna mamilioni ya watu katika bara letu ambalo wanasubiri kwa hamu ushindi unaotarajiwa wa Obama kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi huko Marekani. Kuna tafrija na sherehe zilizoandaliiwa sehemu mbalimbali ambapo watu weusi watasimama kufurahia ushindi wa Obama.

Sitoshangaa wengi wanaosubiri huo ushindi wa Obama wanafanya hivyo si kwa sababu wanakubaliana na sera zake zote (kuongeza kodi, kugawanya utajiri n.k) au misimamo yake ya kijamii (kuunga mkono utoaji mimba au haki za mashoga n.k) bali wanafanya hivyo kwa sababu Obama ni "mweusi mwenzetu".

Hili hata hivyo linanikumbusha jinsi watu walivyomshabikia Kikwete mwaka 2005 licha ya kuwa hakuwa na rekodi yeyote, hakuwa tayari kufanya midahalo na wagombea wenzake na alikuwa na maneno matamu ya "change" yaliyotumiwa kwa mbiu ya "ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya".

Wapo watu wale wale ambao leo wanamgeuka Kikwete ndio leo wanakumbatia kwa haraka maneno ya "change" na ya kuwa "Yes we can". Lakini nyuma ya ushabiki huu Watanzania na watu wa mataifa mengi ya dunia wanachoshabikia kule Marekani kwa kweli ni Rangi; kwamba hatimaye Taifa lenye watu wengi weupe likaongozwa na mtu mweusi!

hapa najikumbusha maneno ya Mwalimu "Sisi bwana hatutukuzi rangi, tunatukuza mtu bwana"!

Yawezekana ulimwengu ukakosea katika ushabiki wake wa Obama kama Watanzania asilimia 80 ya wapiga kura walivyokosea walipomshabikia Kikwete. Kweli Obama ataweza kutimiza ahadi yake ya "kuibadili Marekani, na kuibadili dunia"?

Yawezekana kiongozi ambaye watanzania na nchi za ulimwengu wa tatu zilipaswa kumshabikia ni McCain na siyo Obama kama wangeamua tu kuweka rangi pembeni? Well, masaa 24 yajayo will give us a clue.

Mzee Mwanakijiji Mimi ninakubaliana na wewe kwa yote uliyosema, japo sijafanikiwa kufuatilia na kufahamu sera za Obama. mimi sitegemei kuona mabadiliko yoyote kwa Obama. Kwa kifupi Obama ana maneno matamu lakini matendo sitegemei. nadhani wale wote wanaokupinga ni swala la kuwapa muda. nina hakika muda utafika na matokeo yatakuwa hasi
 
sijafanikiwa kufuatilia na kufahamu sera za Obama. mimi sitegemei kuona mabadiliko yoyote kwa Obama. Kwa kifupi Obama ana maneno matamu lakini matendo sitegemei. nadhani wale wote wanaokupinga ni swala la kuwapa muda. nina hakika muda utafika na matokeo yatakuwa hasi

Na wasi wasi ni Kikwete mwingine huyoooo, hasemi tena maisha bora kwa kila Mtanzania, Obama changes anazozizungumzia kwenye kampeni tusubiri tuone atakavyotekeleza.

Ushi
 
Will it be a Bradley effect again?
Nashindwa kabisa ku-anticipate what will happen to US politics should Obama not be elected a next US president earliest today.

1. Kwa professionals pls fikirieni halafu mfikirie what will be the political situation within US and the world at large.
2. What will be the implications for not choosing Obama
3. What should be done to overcome the Bradley effect
4. AOB
 
Last edited by a moderator:
Kuna mamilioni ya watu katika bara letu ambalo wanasubiri kwa hamu ushindi unaotarajiwa wa Obama kwenye kinyang'anyiro cha uchaguzi huko Marekani. Kuna tafrija na sherehe zilizoandaliiwa sehemu mbalimbali ambapo watu weusi watasimama kufurahia ushindi wa Obama.

Sitoshangaa wengi wanaosubiri huo ushindi wa Obama wanafanya hivyo si kwa sababu wanakubaliana na sera zake zote (kuongeza kodi, kugawanya utajiri n.k) au misimamo yake ya kijamii (kuunga mkono utoaji mimba au haki za mashoga n.k) bali wanafanya hivyo kwa sababu Obama ni "mweusi mwenzetu".

Hili hata hivyo linanikumbusha jinsi watu walivyomshabikia Kikwete mwaka 2005 licha ya kuwa hakuwa na rekodi yeyote, hakuwa tayari kufanya midahalo na wagombea wenzake na alikuwa na maneno matamu ya "change" yaliyotumiwa kwa mbiu ya "ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya".

Wapo watu wale wale ambao leo wanamgeuka Kikwete ndio leo wanakumbatia kwa haraka maneno ya "change" na ya kuwa "Yes we can". Lakini nyuma ya ushabiki huu Watanzania na watu wa mataifa mengi ya dunia wanachoshabikia kule Marekani kwa kweli ni Rangi; kwamba hatimaye Taifa lenye watu wengi weupe likaongozwa na mtu mweusi!

hapa najikumbusha maneno ya Mwalimu "Sisi bwana hatutukuzi rangi, tunatukuza mtu bwana"!

Yawezekana ulimwengu ukakosea katika ushabiki wake wa Obama kama Watanzania asilimia 80 ya wapiga kura walivyokosea walipomshabikia Kikwete. Kweli Obama ataweza kutimiza ahadi yake ya "kuibadili Marekani, na kuibadili dunia"?

Yawezekana kiongozi ambaye watanzania na nchi za ulimwengu wa tatu zilipaswa kumshabikia ni McCain na siyo Obama kama wangeamua tu kuweka rangi pembeni? Well, masaa 24 yajayo will give us a clue.

Mzee Mwanakijiji Mimi ninakubaliana na wewe kwa yote uliyosema, japo sijafanikiwa kufuatilia na kufahamu sera za Obama. mimi sitegemei kuona mabadiliko yoyote kwa Obama. Kwa kifupi Obama ana maneno matamu lakini matendo sitegemei. nadhani wale wote wanaokupinga ni swala la kuwapa muda. nina hakika muda utafika na matokeo yatakuwa hasi
 
Will it be a Bradley effect again?
Nashindwa kabisa ku-anticipate what will happen to US politics should Obama not be elected a next US president earliest today.

1. Kwa professionals pls fikirieni halafu mfikirie what will be the political situation within US and the world at large.
2. What will be the implications for not choosing Obama
3. What should be done to overcome the Bradley effect
4. AOB

There is joke circulating on the net, if Obama wont be a US president, then in Kenya people are going to kill each other...

Sidhani kama Bradley effect yaweza tokea its very obvious Obama is going to clinch the chair in white house.

Ushi
 
Back
Top Bottom