Mkjj kumfananisha Obama na JK sijui ulifikiria kwa hoja zipi.
JK kama angekua na shahada kama za Obama na akaambiwa akafanye wall street ingekua ni mara moja tu JK angekwenda wall street.
Kinyume na hapo Obama aliacha hizo post nzuri nakwenda kufanya kazi ya kujitolea Chicago.
Niambie ni lini JK aliacha kazi zinazoleta mapesa au kuacha deals za ufisadi akaenda kufanya kazi za kujitolea.
JK kama angekua na shahada kama za Obama na akaambiwa akafanye wall street ingekua ni mara moja tu JK angekwenda wall street.
Kinyume na hapo Obama aliacha hizo post nzuri nakwenda kufanya kazi ya kujitolea Chicago.
Niambie ni lini JK aliacha kazi zinazoleta mapesa au kuacha deals za ufisadi akaenda kufanya kazi za kujitolea.