kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,428
- 7,216
ndio maana yake.Sijaelewa. Ina maana hizo pesa ni nyingi kiasi hicho?
ndio maana yake.Sijaelewa. Ina maana hizo pesa ni nyingi kiasi hicho?
Ni bora ata katiba ije ibadirishwe ili Magufuli aongoze miaka 20 bila kufanyika uchaguzi mkuu tu sasa maana hakuna namna.
Japo sina uhakika na chanzo chako cha habari, tunaomba kuuliza, hivi nchi hii kila kitu ni Dar peke yake, ama Dar ndio kuna walipa kodi peke yao?
Safiiiiiiiiu... ina maana hizo fedha za UHURU DAY, is roughly around tshs. 10 billion nadhani... aiseeeeeeeeee
Kweli Magufuli, unatia moyo..!!
Ni hatua nzuri sana lakini mbona pesa zote zinaelekezwa mkoa wa Dar?
Ina maana sie wa Bukoba hatupaswi kuneemeshwa na hizi pesa za zuio la Magufuli!
Ina maana Dar wao peke yao ndio wanalipa kodi?
Magufuli acha ubaguzi, hizo pesa zilenge kusaidia watanzania wote nchini na sio kwa wakazi wa Dar peke yao.
Mbona kijijini kwako Chato uliweka taa za kuongozea magari wakati hakukuwa na umuhimu kivile maana magari huko ni moja moja.
Ni bora ata katiba ije ibadirishwe ili Magufuli aongoze miaka 20 bila kufanyika uchaguzi mkuu tu sasa maana hakuna namna.
Una vitukoooooo
Hii speed ya magufuli itakuja kupunguzwa na wale walevi wetu wa bungeni, ngoja waje na akili zao za viroba kujifanya wanajua sana kujifanya wazalendo sana kumbe wapo kwa maslahi yao tu,
Hawa ndio wameturudisha nyuma sana, roho inauma sana kuwa mawaziri watatoka miongoni mwao,
Japo sina uhakika na chanzo chako cha habari, tunaomba kuuliza, hivi nchi hii kila kitu ni Dar peke yake, ama Dar ndio kuna walipa kodi peke yao?
hivi Magufuli ni Rais W Dar tu?Hiyo hela ingetumika kufanya miundombinu mipya ya maji hapa Dar
Sijaelewa. Ina maana hizo pesa ni nyingi kiasi hicho?