Rais Magufuli Anaishi Maisha Halisi ya Mtanzania

Aaaaah dont destruct your important box carryng job for this ceap politics kaka, unaangalia JF kidogo kisha unaendelea na kazi. Hizi siasa tuachie wenyewe, tutasoma vituko vya aina zote mwaka huu, na imeshajulikana ukisema sana unapata uteuzi.....

cc Nyani Ngabu
ebwana sometimes nachomoka nasingizia naenda haja. 3 minutes enough kuchek na kucoment halaf narud kuosha vyombo
 
Habar wana JF

Tulikua tumezoea kuona viongozi wa Tanzania wakiishi maisha flani ivi ambayo hayaendani kabisa na Watanzania ambao wamemchagua na kumpa wadhifa flani

Lakini kwa Rais Magufuli ni mtu wa tofauti sana anayajua maisha halisi ya mtanzania nje ndani ndo mana na yeye anaishi maisha yale yale tunaiyoishi huku kijijini kwetu.

Kuna matukio mengi ambayo Mh. Rais ameshayafanya au kushiriki kama mtanzania wa kawaida, Kwa hilo kwa kweli binafsi nampongezaa

Nawasilisha
Mtoa uzi una upungufu wa akili,hivi maisha gani anayoishi Magufuli ukayalinganisha na maisha yetu sisi wa Mtimbila,Mavimba,Kiegese ama Malinyi?hivi anajua kama kuna watu hula mlo mmoja kwa siku na wengine kuukosa hata huo mmoja?usirudi na ujinga kama huu tena hapa.
 
Mtoa uzi una upungufu wa akili,hivi maisha gani anayoishi Magufuli ukayalinganisha na maisha yetu sisi wa Mtimbila,Mavimba,Kiegese ama Malinyi?hivi anajua kama kuna watu hula mlo mmoja kwa siku na wengine kuukosa hata huo mmoja?usirudi na ujinga kama huu tena hapa.
Huyu jamaa alileta uzi huu akidhani wote ni Kidumu cha mapinduzi, kidumuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu! Some people can digest issues before making an applause! Mimi sijawahi kumshangilia mkuu wa lolote maana naona mapungufu mengi kwa kila anachokifanya!
 
Habar wana JF

Tulikua tumezoea kuona viongozi wa Tanzania wakiishi maisha flani ivi ambayo hayaendani kabisa na Watanzania ambao wamemchagua na kumpa wadhifa flani

Lakini kwa Rais Magufuli ni mtu wa tofauti sana anayajua maisha halisi ya mtanzania nje ndani ndo mana na yeye anaishi maisha yale yale tunaiyoishi huku kijijini kwetu.

Kuna matukio mengi ambayo Mh. Rais ameshayafanya au kushiriki kama mtanzania wa kawaida, Kwa hilo kwa kweli binafsi nampongezaa

Nawasilisha

Tupe mifano japo 2/3 hivi!
 
nakwambia watu wamelishwa maji ya nanii, hawafikiri tena, eti jitu linasema eti Magu anaishi maisha kama ya mleta mada, stupid huyu mtu. Limelewa , akili hakuna kufikiri kabisa. Nadhani humu JF kuna haja ya kuchagua msg /posts to read
Mkuu CHUAKACHARA,teuzi za mhe. Rais bado zipo tele,tutashuhudia mengi sana mitandaoni na kwenye media kwa ujumla
 
Km kijijini kwenu ndio mnaishi hivo basi mko vizuri sana, mnatembezwa na magari na ulinzi juu...! Hongereni
 
Mh. Rais anaishi maisha ya kawaida kama tunayoishi sisi kijiji kwetu mkuu ww binafsi unaonaje kwa maoni yako ndo nilichowasilisha
Anaenda choo ya shimo na kujifuta na majani yenye umande, anaamka bila kula kitu na kwenda offisini mpaka saa 5 na kunywa uji wa chumvi kama sisi, anakula lunch ya mihogo na maharagwe bila mafuta, anapata siesta ya saa moja kuanzia saa saba mpaka saa tisa, anakwenda kilabuni kuangalia kama kuna rubisi bei poa, anakwenda shambani kumalizia siku kwa kupalilia maharagwe kabla mvvua hazijanyesha jioni, anakula ndizi, ugali kwa maharagwe na mlenda au mchicha bila protein yoyote? Analala kwenye kitanda cha bamboos na kuweka nyasi kabla ya kuweka shuka la aliloachiwa na bibi yake kwenye mirathi? Je anasubiri mtoto wake arudishwe kwa kutopeleka sukari shuleni ya uji wakati nyumbani ni chumvi mtindo mmoja? Hayo ndo maisha yangu kama anaishi vile basi tuko pamoja.
 
Mkuu CHUAKACHARA,teuzi za mhe. Rais bado zipo tele,tutashuhudia mengi sana mitandaoni na kwenye media kwa ujumla
Sijui kwa nini watu hawatafakari kila kinachotendwa na mkuu, wanashangilia tu. Sawa kuna mambo ni mazuri lakini kwa style yake tujijengee kuchambua matukio kabla ya kupiga makofi!
 
Habar wana JF

Tulikua tumezoea kuona viongozi wa Tanzania wakiishi maisha flani ivi ambayo hayaendani kabisa na Watanzania ambao wamemchagua na kumpa wadhifa flani

Lakini kwa Rais Magufuli ni mtu wa tofauti sana anayajua maisha halisi ya mtanzania nje ndani ndo mana na yeye anaishi maisha yale yale tunaiyoishi huku kijijini kwetu.

Kuna matukio mengi ambayo Mh. Rais ameshayafanya au kushiriki kama mtanzania wa kawaida, Kwa hilo kwa kweli binafsi nampongezaa

Nawasilisha
Non sense!!
 
Habar wana JF

Tulikua tumezoea kuona viongozi wa Tanzania wakiishi maisha flani ivi ambayo hayaendani kabisa na Watanzania ambao wamemchagua na kumpa wadhifa flani

Lakini kwa Rais Magufuli ni mtu wa tofauti sana anayajua maisha halisi ya mtanzania nje ndani ndo mana na yeye anaishi maisha yale yale tunaiyoishi huku kijijini kwetu.

Kuna matukio mengi ambayo Mh. Rais ameshayafanya au kushiriki kama mtanzania wa kawaida, Kwa hilo kwa kweli binafsi nampongezaa

Nawasilisha
Al Bashir, si unaona hakuna anayekuunga mkono, think twice before you post anything.
 
Kama kweli anaishi hivyo je Rais Josef Mujica wa URUGUAY anaweza kufikiwa kwa jinsi anavyoishi.
-Haishi Ikulu
-Nyumba ya Mbao
-Gari Volkswagen Beattle ya zamani, hana dereva.
-Vespa na baiskeli ndio usafiri wake mara nyingi.
-Havai soksi.
-Mkewe ni mfanya biashara ndogo ndogo ya mboga wanazolima wenyewe.

Je Dr. JPM anaweza?
 
Mtoa uzi una upungufu wa akili,hivi maisha gani anayoishi Magufuli ukayalinganisha na maisha yetu sisi wa Mtimbila,Mavimba,Kiegese ama Malinyi?hivi anajua kama kuna watu hula mlo mmoja kwa siku na wengine kuukosa hata huo mmoja?usirudi na ujinga kama huu tena hapa.

Akili hazifanani mkuu, lakini kwa hizo kidogo zilizopo namshukuru mungu kwan naweza kuona na kuhisi mazuri wanayofanya wengine
 
Kama kweli anaishi hivyo je Rais Josef Mujica wa URUGUAY anaweza kufikiwa kwa jinsi anavyoishi.
-Haishi Ikulu
-Nyumba ya Mbao
-Gari Volkswagen Beattle ya zamani, hana dereva.
-Vespa na baiskeli ndio usafiri wake mara nyingi.
-Havai soksi.
-Mkewe ni mfanya biashara ndogo ndogo ya mboga wanazolima wenyewe.

Je Dr. JPM anaweza?

Kweli kabisa mkuu, kuna watu walikua wamezoea kuchota kodi zetu wanahasira acha Magu awanyooshee
 
Sijui kwa nini watu hawatafakari kila kinachotendwa na mkuu, wanashangilia tu. Sawa kuna mambo ni mazuri lakini kwa style yake tujijengee kuchambua matukio kabla ya kupiga makofi!

He is a human like you bro an he will never do good at all time, But lazima tukubali na tumupe sapoti kwa anayofanya kwani ndo rais yetu, iwe unampenda or haumpend lakin akiamua jambo ndo likalofanyikaa
 
Anaenda choo ya shimo na kujifuta na majani yenye umande, anaamka bila kula kitu na kwenda offisini mpaka saa 5 na kunywa uji wa chumvi kama sisi, anakula lunch ya mihogo na maharagwe bila mafuta, anapata siesta ya saa moja kuanzia saa saba mpaka saa tisa, anakwenda kilabuni kuangalia kama kuna rubisi bei poa, anakwenda shambani kumalizia siku kwa kupalilia maharagwe kabla mvvua hazijanyesha jioni, anakula ndizi, ugali kwa maharagwe na mlenda au mchicha bila protein yoyote? Analala kwenye kitanda cha bamboos na kuweka nyasi kabla ya kuweka shuka la aliloachiwa na bibi yake kwenye mirathi? Je anasubiri mtoto wake arudishwe kwa kutopeleka sukari shuleni ya uji wakati nyumbani ni chumvi mtindo mmoja? Hayo ndo maisha yangu kama anaishi vile basi tuko pamoja.

Kuhisi tu kuumizwa na maisha tunayoishi inatosha kuonesha kwamba yuko pamoja na sisi walala hoi, Anapowazungumzia akina ss unaona kabisa anaumia kutoka moyon
 
Back
Top Bottom