Rais Magufuli Anaishi Maisha Halisi ya Mtanzania

Habar wana JF

Tulikua tumezoea kuona viongozi wa Tanzania wakiishi maisha flani ivi ambayo hayaendani kabisa na Watanzania ambao wamemchagua na kumpa wadhifa flani

Lakini kwa Rais Magufuli ni mtu wa tofauti sana anayajua maisha halisi ya mtanzania nje ndani ndo mana na yeye anaishi maisha yale yale tunaiyoishi huku kijijini kwetu.

Kuna matukio mengi ambayo Mh. Rais ameshayafanya au kushiriki kama mtanzania wa kawaida, Kwa hilo kwa kweli binafsi nampongezaa

Nawasilisha
Maisha halisi ya Mtanzania yakoje?

Asilimia wangapi ya Watanzania hawana umeme? Asilimia ngapi hawana maji? Asilimia ngapi hawana BMW? Asilimia ngapi wana bastola?
 
Nadhan kwa Tanzania nzma kijij anachoish mtoa post ndo kmeendelea maana wanaish kama Rais,
 
Muelewen mleta mada vizuri ana ujumbe uliojificha. Anamaanisha rais anaish kimajungumajungu tu kiuswahili uswahili mfano mzuri alipomtumbua kabwe mbele ya kadamnas. That's too low for a president to do. Mambo kama haya yananikatisha tamaa ya kujiendeleza kielimu ama kimasomo. Nimeamua kukomaa na kubeba boksi na form four yangu ya kuunga unga si English nafaham kwani shida ipo wapi??
Watu wanashangilia mambo yasiyofaa kwa rais kuyafanya kama mzuka. Kuna taratibu zake za kufuata.
 
Sasa ulitaka aishije??? Ka malaika au?? Au ye si binadam kama sisi??? Kifupi anaishi maisha ya kawaida kwa sababu anajua binadamu wote sawa sa sijui we ulitaka aishije....

Hilo halina mjadala! Suleiman na fahari zake zote bado ule ubinadamu na mahitaji ya msingi ya kibinadamu yalikuwa pale pale. Kama binadamu alihitaji kula, aliugua, and all other biological processes ndani ya mwili wa binadamu ziliendelea kufanya kazi kama kawaida bila kujali yeye ni mfalme au ana mamlaka gani.

Lakini kuna baadhi ya vitu ambavyo huwezi kujilinganisha naye au kujilinganisha na Rais. Kutuambia hapa eti Rais anaishi kama kijijini kwao kwanza ni zaidi ya uongo na kumkosea adabu.
 
Maisha halisi ya Mtanzania yakoje?

Asilimia wangapi ya Watanzania hawana umeme? Asilimia ngapi hawana maji? Asilimia ngapi hawana BMW? Asilimia ngapi wana bastola?

Anakula kwa mama ntilie kama mm, anaenda bank anachukua elfu 50, Mie nachukua 20 kama ivo yan
 
Hakuna kiumbe rahisi kudanganywa hapa duniani kama mtanzania!
Ndio maana hata ikija hoja ya wezi wa mali za umma kushitakiwa hata kama wana kinga wataingiza ukabila na udini.
 
Hilo halina mjadala! Suleiman na fahari zake zote bado ule ubinadamu na mahitaji ya msingi ya kibinadamu yalikuwa pale pale. Kama binadamu alihitaji kula, aliugua, and all other biological processes ndani ya mwili wa binadamu ziliendelea kufanya kazi kama kawaida bila kujali yeye ni mfalme au ana mamlaka gani.

Lakini kuna baadhi ya vitu ambavyo huwezi kujilinganisha naye au kujilinganisha na Rais. Kutuambia hapa eti Rais anaishi kama kijijini kwao kwanza ni zaidi ya uongo na kumkosea adabu.

Sio yotee mkuu, kwa mfano ukiona mtu ana simu nzuri or shati zuri nawe ukasema name naenda kununua kama ile mtafanana kila kitu, sio kweli but ninamaanisha ni kwamba kuna vitu ambavyo vinashabihiana na maisha ya kila cku ya watanzania that's all about
 
Muelewen mleta mada vizuri ana ujumbe uliojificha. Anamaanisha rais anaish kimajungumajungu tu kiuswahili uswahili mfano mzuri alipomtumbua kabwe mbele ya kadamnas. That's too low for a president to do. Mambo kama haya yananikatisha tamaa ya kujiendeleza kielimu ama kimasomo. Nimeamua kukomaa na kubeba boksi na form four yangu ya kuunga unga si English nafaham kwani shida ipo wapi??


Aaaaah dont destruct your important box carryng job for this ceap politics kaka, unaangalia JF kidogo kisha unaendelea na kazi. Hizi siasa tuachie wenyewe, tutasoma vituko vya aina zote mwaka huu, na imeshajulikana ukisema sana unapata uteuzi.....

cc Nyani Ngabu
 
Anakula kwa mama ntilie kama mm, anaenda bank anachukua elfu 50, Mie nachukua 20 kama ivo yan
Hujajibu niliyouliza.

Mtu anayekula kwa mama ntilie kwa kuamua tu wakati ana uwezo wa kuitisha dhifa ya kitaifa, na mwingine anayekula kwa mama ntilie kwa sababu hana namna nyingine, wana usawa gani?

Watanzania wengi ni rahisi sana kuchotwa akili kwa maigizo na hawawezi kuangalia mambo ya msingi.
 
Hawezi ishi kama anayeishi kwenye nyumba za majani. ..lakini jambo la kushukuru ni kuwa anaelewa watu wa maisha ya chini
 
Habar wana JF

Tulikua tumezoea kuona viongozi wa Tanzania wakiishi maisha flani ivi ambayo hayaendani kabisa na Watanzania ambao wamemchagua na kumpa wadhifa flani

Lakini kwa Rais Magufuli ni mtu wa tofauti sana anayajua maisha halisi ya mtanzania nje ndani ndo mana na yeye anaishi maisha yale yale tunaiyoishi huku kijijini kwetu.

Kuna matukio mengi ambayo Mh. Rais ameshayafanya au kushiriki kama mtanzania wa kawaida, Kwa hilo kwa kweli binafsi nampongezaa

Nawasilisha
12108901_753009791471102_5226224161587987673_n.jpg





ndio kwakweli ni mtanzaniahalisi
 
Nadhan kwa Tanzania nzma kijij anachoish mtoa post ndo kmeendelea maana wanaish kama Rais,

Simaanishi tuna kula barger au tunatembelea BMW but kuna maisha magufuli anaishi tofauti na viongozi waliopita mkuu
 
Hujajibu niliyouliza.

Mtu anayekula kwa mama ntilie kwa kuamua tu wakati ana uwezo wa kuitisha dhifa ya kitaifa, na mwingine anayekula kwa mama ntilie kwa sababu hana namna nyingine, wana usawa gani?

Watanzania wengi ni rahisi sana kuchotwa akili kwa maigizo na hawawezi kuangalia mambo ya msingi.

Tupo pamoja mkuu ni kama ww tu ukamua leo ngoja tuu niende kijiweni kupiga bao but ungeweza kwenda Serena kula upepo or whatever
 
Habar wana JF

Tulikua tumezoea kuona viongozi wa Tanzania wakiishi maisha flani ivi ambayo hayaendani kabisa na Watanzania ambao wamemchagua na kumpa wadhifa flani

Lakini kwa Rais Magufuli ni mtu wa tofauti sana anayajua maisha halisi ya mtanzania nje ndani ndo mana na yeye anaishi maisha yale yale tunaiyoishi huku kijijini kwetu.

Kuna matukio mengi ambayo Mh. Rais ameshayafanya au kushiriki kama mtanzania wa kawaida, Kwa hilo kwa kweli binafsi nampongezaa

Nawasilisha
pumba.
 
Tupo pamoja mkuu ni kama ww tu ukamua leo ngoja tuu niende kijiweni kupiga bao but ungeweza kwenda Serena kula upepo or whatever
Kwa hiyo unakubali kwamba anayeamua kwenda kijiweni huku ana uwezo wa kwenda Serena maisha yake si sawa na yule ambaye yuko kijiweni na hana hata nauli ya kufika Serena?
 
Back
Top Bottom