Pumbavu! toa ukanda/ukabila hapa. Hao watu wameteuliwa kwa sifa zao wala hawajaenda kuwakilisha waha/kigoma. Watz wote tunawaunga mkono wala hatuhitaji kujua walikozaliwa. Watu wa aina yenu ni majipu mnapaswa kutumbuliwa.
Awali ya yote tunatuma pongezi kwa Mheshimiwa Rais Magufuli kutokana na uteuzi mzuri wa mawaziri katika wizara nyeti (Fedha na Mipango, na Elimu) wateule wote wakiwa ni wenyeji wa mkoa wa Kigoma. Pasipo kupepesa macho, wanakigoma tumeupokea uteuzi huu kwa mikono miwili, tutazidi kukipa kura za kutosha CCM.
Awali ya yote tunatuma pongezi kwa Mheshimiwa Rais Magufuli kutokana na uteuzi mzuri wa mawaziri katika wizara nyeti (Fedha na Mipango, na Elimu) wateule wote wakiwa ni wenyeji wa mkoa wa Kigoma. Pasipo kupepesa macho, wanakigoma tumeupokea uteuzi huu kwa mikono miwili, tutazidi kukipa kura za kutosha CCM.
Kumbe mama yuko vizuri kama kosa lenyewe lililomwondoa ni hilo kwa maelezo aliyotoa hakupasws kuondolewa kwenye nafasi hiyo nadhani majungu masufuria yaliikwa hapo.
Ulitaka ateuliwe bibi yako
Hapo sioni chuki kwa Waislamu mkuu. Ni somo walikosea kusahihisha na tatizo wakali-fix. Iyo ni chuki au mistake?tkitu kilichomuondoa Joyce Ndalichako ni kuwa hakuwatendea haki vijana wa kiislamu katka somo la Islamic knowledge.
tujikumbushe
BARAZA la Waislamu Tanzania (Bakwata)
limemtaka Katibu Mtendaji wa Baraza la
Mitihani (Necta), Dk Joyce Ndalichako
kujiuzulu wadhifa huo akimtuhumu
kuwafelisha mitihani ya dini ya Kiislamu
wanafunzi wa kidato cha sita wa dini hiyo.
Kauli hiyo ya Bakwata imetolewa na Mufti
wa Tanzania, Sheikh Issa Bin Shaaban
Simba katika mkutano wake na waandishi
wa habari jijini Tanga jana kuelezea
msimamo wa Waislamu nchini kuhusu
matokeo ya kidato cha sita, hujuma
inayoandaliwa kufanyika katika zoezi la
sensa pamoja na vurugu zilizotokea
Zanzibar.
Kuhusu hujuma ya mtihani, Mufti Simba
alisema kuwa matokeo ya mtihani ya dini
hiyo ya Kidato cha Sita yaliyotangazwa Mei
Mosi 2012, yaliwashtua wanafunzi Waislamu
waliofanya mtihani wa elimu ya dini ya
kiislamu (Islamic Knowledge), ambayo
yalionyesha kuwa asilimia 70 walifeli kwa
kupata daraja F.
Alisema matokeo hayo yalionyesha kuwa ni
asilimia 30 ndiyo waliofaulu kwa kupata
daraja D, ambapo waliopata alama za juu
kabisa nchi nzima ni wanafunzi saba
pekee.?Matokeo haya yaliwashtua wanafunzi
na wazazi, taasisi mbalimbali za kiislamu
zilimua kukata rufaa kuonyesha
kutokubaliana na matokeo hayo, hatimaye
baraza hilo
likabaini kuwa lilikosea na likaidhinisha
kutolewa matokeo
mapya,? alisema Mufti Simba.
Tayari Ndalichako ametoa ufafanuzi kuwa
kosa lililotokea akisema si hujuma bali ni la
kiufundi lililotokana na kubadili utaratibu wa
kufanya mitihani mitatu ya somo hilo kuwa
miwili, lakini mfumo wa ujumlishaji maksi
ulisahaulika kubadilishwa.
Ndalichako alilieleza gazeti dada la
Mwananchi, The Citizen, kuwa awali
matokeo ya mitihani mitatu yalikuwa
yanajumlishwa na kugawanywa kwa tatu
kwa kutumia mfumo wa kompyuta, ili kupata
alama rasmi za mtahiniwa, lakini safari hii
zilipojumlishwa alama za mitihani miwili ya
somo hilo ziliendelea kugawanywa kwa tatu
badala ya mbili kimakosa.
magufuli naona unafanya mambo bila tahadhari ya. kuamsha hisia zilizolala
argue don't shout
Nadhani uteuzi wa huyu mama utenguliwe tu,hafai,bora wangempa unaibu wa wizara ya walemavu