2013
JF-Expert Member
- Aug 2, 2011
- 11,358
- 6,059
alishindwa kujibu maswali kwenye mdahalo wa uraisi pamoja na kupewa majibu ya pepa pale move n pick japo alipewa muda mwingifor some of his best quotable quotes kama hizi hapa:
1. Nashangaa kwa nini Tanzania ni nchi ni tajiri sana kwa raslimali lakini watu wake ni maskini wa kutupa
2. Kigezo cha maendeleo ya nchi ni foleni ndefu za magari barabarani
3. Nashangaa Amani iliyoletwa na Mababu zetu imepotelea wapi
4. Mfumo wa uchumi wa Tanzania haufungamani na wa nchi za magharibi
5. Wamiliki wa dowans siwajui
6. Tutakivua magamba chama chetu
nk ,,,,nk/...