for some of his best quotable quotes kama hizi hapa:
1. Nashangaa kwa nini Tanzania ni nchi ni tajiri sana kwa raslimali lakini watu wake ni maskini wa kutupa
2. Kigezo cha maendeleo ya nchi ni foleni ndefu za magari barabarani
3. Nashangaa Amani iliyoletwa na Mababu zetu imepotelea wapi
4. Mfumo wa uchumi wa Tanzania haufungamani na wa nchi za magharibi
5. Wamiliki wa dowans siwajui
6. Tutakivua magamba chama chetu
nk ,,,,nk/...
Nchi gani mkuu? Tunaongelea JK wa Tanzania na Tanzania hakuna barabara za lami. Hebu jaribu kwenda Mtwara, au Kigoma, au Rukwa, au Simiyu, au Katavi, au Tabora halafu uje utoe ripoti. Au mnadanganyika na propaganda za TBCCM?