Rais Kikwete na mipango ya uchumi kwa Tanzania miaka 5 ijayo

Kila akiingia hapa anakua kazini/kibaruani (malipo maalumu), tofauti na sisi ni uzalendo na curiosity yakutaka ku-learn from other people's views. Ukiona mtu anabisha kila kitu ujue huyo hana nia yakujifunza anatimiza tu wajibu wake uliomleta hapa.

Ww nawe mbona uko kazini bana , umeajiriwa na Chama cha Demokaya na Magwanda bana
 
GPA 2.6 MWATEGEMEA NINI? Jiandaeni kununua sabuni kipande sh.5000/

Mbona Chama cha Demokaya na Magwanda kilimsimamisha wa darasa la saba kuwa Makamu wa Rais, yuko wapi yule mzee bana, mlitia aibu dunia nzima hawakuamini kama ni nyie bana
 
Kilichoniudhi na sikuipenda ni pale alipoingia na wajumbe walisimama na wakiimba wimbo wa "Tanzania",alikuwa akitafunatafuna ,haipendezi hasa kwa mtu mzima na hasa kwa nafasi yake kufanya hivo,wimbo wa Taifa na wa kuisifia nchi yetu ni nyimbo ambazo zinahitaji kuonesha na kutabasamu na kusimama kwa unadhifu.Kwa maneno mengine ile dharau,hii ni sawa na baba kuongea na mwanae na ilhali anatafuna kitu ambapo haionesha kuheshimu,naomba kuwasilisha.SIKUIPENDA,TENA SANA.
 
tehe tehe tehe! ni sawa na kuwaambia wanako kuwa hali ya maisha ya nyumba yako sasa ni ya hali ya juu huku
wanao wakikusikiliza huku wanapiga miyao kwa njaa kali sana na wakichungulia kihenge hakina kitu kuna panya ambao nao wanakaribia kuzimia kwa njaa.Du JK kiboko kwa fix.
 
Jee kabla ya Kikwete utegemezi wa bajeti ulikuwa asilimia ngapi? Na sasa wakati wake asilimia ngapi?

try to think deep before jumping into the conclusion FaizaFoxy, Jk unayemtetea kwa nguvu zako zote amekuwepo serikalini toka awamu ya kwanza mpaka hii ya kwake ya 4. Tuligemea amejifunza mengi pamoja na experience ya kuwa waziri wa mambo ya nje ya nchi pamoja na kuwa waziri wa fedha kama kumbukumbu zangu ziko sawa kwa vipindi tofauti.
Nilitegemea anajua anachokwenda kufanya watz tukaweka matarajio makubwa kwake lkn ndio amevurunda kuliko wote! Na mpaka sasa ni rais pekee dunian anayeongoza nchi bila kujua ni kwa nini wananchi wake ni maskini wkt wanaraslimali za kutosha.

East Africa ni nchi ambayo thamani ya shilingi yake inazidi kushuka kwa kasi kadiri siku zinavyozidi kusonga mbele. Hakuna jitahada za dhati kutoka kwake wala kwa watendaj wake za kunusuru uchumi wa nchi ambao kwenye makaratasi yao wanadai umepanda ila kiuhalisi na kimantik umezidi kushuka huku nafasi kati ya aliyenacho na asiyekuwa nacho inazidi kuongozeka.

Unabenefit nini unapoona nchi inazidi kuwa gizani na wewe unaleta ushabiki wa kisiasa. bila umeme hata viwanda vichache tulivuyonavyo vitazalisha vipi? Hata vijana waliojiari kwa kazi na saloon na kama hzo ambazo zote zinategemea nishati adhimu katika nchi ya umeme wataendeshaje maisha. Hali ya maisha ya kila siku ya mtanzania wa kawaida kama mimi ni bora ya jana.Think big think twice
 
haa hata haya huoni? Unasema haswa kwa roho nyeupe kuwa "haoneshi serikali yake itafanya nini", unashangaza sana! Hivi ule mkutano ulikuwa wa nini?

faiza na nape hamtofautiani, kwa mwezi mzima umejitahidi kufanya kile ulichotumwa na magamba lakini naona kinakushinda kama nape alivyoshindwa na leo hatumsikii tena!
Pole kwa kujitoa muhanga
 
Acha kuzungumza kinadharia weka data kuanzia tunapata uhuru 1961 - 2010 , kila mwaka kwenye bajeti utegemezi ulikuwa kiasi gani ? acha bla bla ww mfuasi wa Chama cha Demokaya na Magwanda

Wajua Humu ndani mkipenda sana Data za kutafuniwa itakuwa ngumu sana kuchanga msha vichwa vyenu, kwaiyo mwataka ni wape budget ya 1980's????

 
Mimi naona Lowasa anastahili heshima yake kama kawaida, lakini kiukweli niongee ukweli nimemsikiliza JK lakini sijapata flow nzuri ya kueleweka nini hasa alikusudia kutoa kwa wananchi kwa ujumla.

Nafikiri alikua anajaribu kushift ile discussion ya madawa ya kulevya ihamie kwenye speech. This is what he did: Alijaribu kuhamisha discussion ya kamata kamata ya upinzani ihamie kwa viongozi wa dini akaharibu. Sasa anaamisha discussion ya ya viongozi wa dini kwenye speech ya so called "maendeleo" ameharibu. Mi naona akae kimya tu sasa maana anavyozidi kuongea ndio watu wanazidi ku-confirm kuwa hajui anachofanya.(anabahatisha)
 
Mbona Chama cha Demokaya na Magwanda kilimsimamisha wa darasa la saba kuwa Makamu wa Rais, yuko wapi yule mzee bana, mlitia aibu dunia nzima hawakuamini kama ni nyie bana

Ndugu, msijisumbue na CDM kwasasa. Nyie ndio chama tawala, wananchi tunawaangalia ninyi mnafanya nini? Je rubani anatupeleka kwenyewe au anatupotosha? Je tufanye nini kama tumeshapotea njia? Can we work on our mistakes and move on au tuendelee kulumbana tu while no one is gaining!
 
Acha kuzungumza kinadharia weka data kuanzia tunapata uhuru 1961 - 2010 , kila mwaka kwenye bajeti utegemezi ulikuwa kiasi gani ? acha bla bla ww mfuasi wa Chama cha Demokaya na Magwanda

Kwa Taaarifa yako me sio Chadema me ni mwanachama wa CCM mapinduzi makini siko na hao wewe uanao wasupport mafisadi kama wakina EL,RA, Ntabaki kuwa Mwana CCM safi maisha yangu yote daima na ntapigania haki ya wanyonge humo humo ndani ya CCM.

 
Jee kabla ya Kikwete utegemezi wa bajeti ulikuwa asilimia ngapi? Na sasa wakati wake asilimia ngapi?

Kwa kukusaidia tu ndg yangu kama uana Encarta 2007 nenda kasome Historia ya Nchi yako hapo kila sector imewekwa na ndipo hapo upate Calculation zako tuuu ndio ujue kama twahisi au kukadilia. for starting use that baby feeding itakusaidia

 
Huu mpango wa maendeleo wa miaka mitano ijayo unaacha swali moja - MKUKUTA umekufa? Kuna kasoro gani kwenye MKUKUTA mpaka tuwe na mpango mwingine wa maendeleo? Na nijiuavyo MKUKUTA ulipitiwa mwaka jana na sasa tuko kwenye MKUKUTA II - 2010/11 - 2011/16. Sasa tuna mipango miwili? Au Kikwete anataka kuonekana tofauti kwa kila kitu kwa hiyo anafuatilia mbali mipango ambayo tayari ipo?
 
Ww nawe mbona uko kazini bana , umeajiriwa na Chama cha Demokaya na Magwanda bana

Hapana mkuu tusivunjiane heshima. Sina ubia na chama chochote. However nasema tena na ninarudia hili: I disagree with Kikwete 100% lakini naamini kuna viongozi wa CCM wazuri na pia nina amini kuna viongozi wazuri CDM. Kuchagua kwangu kiongozi hakujali itikadi; leadership sio itikadi. Sipigi kura kwakuangalia chama, napiga kura kuangalia nani amesimamishwa kugombea mkuu. Lets not operate with assumptions.
 
Leo ITV na TBC nimeona viti 2 vikiwa vimekaliwa na maji ya chupa ya kunywa mpaka mwisho wakati wa uzinduzi aliofanya Kikwete leo Dodoma.

kwa wanaJF hii inaashiria nini?
 
Hiyo ni kawaida kwa kiongozi mkumbwa kama yeye kila kitu kiwepo mezani, hawezi kupiga kelele lete maji! Kuhusu viti 2 nadhani ulitaka kukusudia kuleta uzushi kuwa ilikuwa ni kwa ajili ya akita kudondoka.
 
NAPE NAUYE TEAM Keep it up utawaokota baadhi...
kuhakikisha uchumi unaendele kuwa tengemavu.
kasi ya uchumi kupanda
mfumuko wa bei kupunguzwa
deni la taifa lizibitiwe
uchumi kukua kwa asilimia 8
mapato ya serikali yafikie 19%
pato la wanaichi liongezekew mpaka $650
 
Jee kabla ya Kikwete utegemezi wa bajeti ulikuwa asilimia ngapi? Na sasa wakati wake asilimia ngapi?

Kabla ya Kikwete utegemzi wa bajeti na sasa ni sawa sababu ni same CCM tofauti iliyopo ni kwamba japo mkapa alitegemea misada bado mkapa ndio kiongozi ambaye serikali yake imelipa madeni mengi sana ya nchi hiii. Ni seriali ya Mkapa ndiyo inayoipa jeuri serikali ya JK kwa sbabau hivi sasa Tunakoposheka.


Sasa uliza Hii serikali yetu sasa imekopa shilingi ngapi ? Norway akikunyima msaada kwenye bejeti yako sababu ya UFISADI ukaenda kukopa CHINA kufidia nakisi huwezi kusema umejitegemea. do u get it.

wananchi wanadanganywa kuwa bejiti imejitemea kwa asilimia 40% kumbe ni zigo la madeni ile kazi aliyofanya mkapa kulipa madeni ni kama kazi bure.

BInafsi nitapenda wachumi watuleee data za status ya madeni ya Tanzania before and after JK .
 
Back
Top Bottom