Rais Kikwete na mipango ya uchumi kwa Tanzania miaka 5 ijayo

Nafuatilia hotuba ya rais wenu JK .Anatoa historia ya uchumi TZ tangu enzi za uhuru. Eti uchumi umekua kwa asilimia 7 ikilinganishwa na malengo ya asilimia 8. Anajitahidi kusisitiza kuwa hali ngumu ya uchumi haikuanza leo. Kwa mfano anasema "Miezi 18 ambayo mwalimu alitangaza tufunge mikanda ikawa miaka 18, mambo yakaharibika kweli kweli!"
Mpaka sasa haoneshi serikali yake itafanya nini kuboresha hali ila anasema wazungu wanatusifu kwelikweli. Anasema mfumuko wa bei umeshuka!
my take: huku kurudiarudia historia ni dalili za kutaka huruma ili kuficha udhaifu wake na serikali yake. Anyway ngoja niendelee kutazama.



Mkuu na Wana JF,

Rais anae jiaminia hawezi akajisifia maendeleo ya uchumi kwa Budget ya kutegemea msaada, JK ulikuwa serikali ya Mwalimu mpaka sasa na elimu ya Uchumi unayo hivi ulishindwa nini kuweka historia ya kujenga uchumi japo kwa kuibia strategy za nchi zingine kama Malaysia in 1980's ilikuwa tu sawa na nchi yetu mbali na vita ya Uganda kweli Kagame katoka Juzi tu kwenye vita ya wenyewe ambayo ni mbaya kuliko ya Uganda na wana kuwa kiuchumi kwa nchi ndogo kama ile Kagame ndio anaonyesha kuwa ni Rais mwenye msimamo na wapi anaupeleka uchumi hata kama nae ana mabaya yake lakini wapi anaitazama future ya wa nyarwanda.

Hapa kwetu ni kusisitiza wawekezaji tuuuu na kuomba misaada na kukali siasa chafu za kudidmiza uchumi na kujisfia uchumi wa makaratasi ati umekuwa but in real sense wananchi wanapigwa na kipigo cha uchumi mgumu maisha magumu.

JK imefika mahali kama nchi umishindwa omba msaaada tuuuu tabia ya kudharau mapendekezo ya wasomi wa uchumi ni mbaya acheni siasa za fitina hapo IKULU

 
Karudie kusikiliza hotuba yake bana , na cha busara tafuta kitabu chenyewe ili uwe na uhakika bana, kwani waonyesha ulikuwa wasinzia wewe

bora umegundua huna la kuongea mbele za watu. Sasa kama ulijua hotuba yake ilitosha vijineno vyako ulileta vya nini jamvini? Next time ukija hapa ujue unaongea na wenye akili timamu,si kudhani uko kwenye hotuba ya jk,sawa? Ok bora umekubali.
 
Nafuatilia hotuba ya rais wenu JK .Anatoa historia ya uchumi TZ tangu enzi za uhuru. Eti uchumi umekua kwa asilimia 7 ikilinganishwa na malengo ya asilimia 8. Anajitahidi kusisitiza kuwa hali ngumu ya uchumi haikuanza leo. Kwa mfano anasema "Miezi 18 ambayo mwalimu alitangaza tufunge mikanda ikawa miaka 18, mambo yakaharibika kweli kweli!"
Mpaka sasa haoneshi serikali yake itafanya nini kuboresha hali ila anasema wazungu wanatusifu kwelikweli. Anasema mfumuko wa bei umeshuka!
my take: huku kurudiarudia historia ni dalili za kutaka huruma ili kuficha udhaifu wake na serikali yake. Anyway ngoja niendelee kutazama.


Haa hata haya huoni? Unasema haswa kwa roho nyeupe kuwa "haoneshi serikali yake itafanya nini", unashangaza sana! Hivi ule mkutano ulikuwa wa nini?
 
Usiwe mbishi hakuna per capital income ya kwa mwezi, kama ni hivyo basi angetoa na bajeti ya mwezi.

ndugu yani hawa watu wakishapata mgao pale Lumumba na kukabidhiwa desktop pale wanakimbilia ku login jamvini bila kujua wanaenda kuandika nini jf!! Hongera kwa kuendelea kumjuza,mwendo huu kufikia 2015 watakuwa wameshapata elimu ya kuwatosha toka jf.
 
Amesema sasa hivi uchumi unaruhusu hata kufanya yale mambo ambayo zamani ilikuwa ni lazima kutegemea wahisani.

Mbona haliishi kwenda kuombeleza? Hivi hili zee zinalitosha kweli? He is thick!

Tunapewa hadi msaada wa vyandarua!!! Aibuuuuuuuuu!!!
 
Katazame ilichojibu hiyo iliyo out of point. Jee, picha ya avatar yangu ndio point yenyewe?

FaizaFoxy, umejiunga JF tarehe 9/5/2011 na leo tarehe 8/6/2011 unatimiza siku 30 sawasawa na mwezi moja. Katika muda huo una posts zaidi ya 850 ikiwa na maana kwamba kwa siku moja (masaa 24) unatuma posts karibu 30 na zote ni katika kuitetea CCM. Napendekeza upewe tuzo maalumu na uongozi wa JF kwa kuweka rekodi katika uchangiaji kwenye mada hasa zile zinazomgusa Kikwete bila kulala, hongera sana !
 


Mkuu na Wana JF,

Rais anae jiaminia hawezi akajisifia maendeleo ya uchumi kwa Budget ya kutegemea msaada, JK ulikuwa serikali ya Mwalimu mpaka sasa na elimu ya Uchumi unayo hivi ulishindwa nini kuweka historia ya kujenga uchumi japo kwa kuibia strategy za nchi zingine kama Malaysia in 1980's ilikuwa tu sawa na nchi yetu mbali na vita ya Uganda kweli Kagame katoka Juzi tu kwenye vita ya wenyewe ambayo ni mbaya kuliko ya Uganda na wana kuwa kiuchumi kwa nchi ndogo kama ile Kagame ndio anaonyesha kuwa ni Rais mwenye msimamo na wapi anaupeleka uchumi hata kama nae ana mabaya yake lakini wapi anaitazama future ya wa nyarwanda.

Hapa kwetu ni kusisitiza wawekezaji tuuuu na kuomba misaada na kukali siasa chafu za kudidmiza uchumi na kujisfia uchumi wa makaratasi ati umekuwa but in real sense wananchi wanapigwa na kipigo cha uchumi mgumu maisha magumu.

JK imefika mahali kama nchi umishindwa omba msaaada tuuuu tabia ya kudharau mapendekezo ya wasomi wa uchumi ni mbaya acheni siasa za fitina hapo IKULU


Jee kabla ya Kikwete utegemezi wa bajeti ulikuwa asilimia ngapi? Na sasa wakati wake asilimia ngapi?
 
Kwa kweli JK anaijua hii nchi, kumbe CDM ni waongo bana hawana lolote. Sikieni data za ukweli za mpango wa maendeleo wa mwenye nchi na mwenye madaraka ya dola bana

Mkuu, hata mtoto mdogo anaamini anachoona sio anachosikia. Mimi na wewe tunajua haisaidii kutaja/kuzungumza bila utendaji (tunataka kuona hivyo vilikwisha zungumziwa na vinavyoendelea kuzungumziwa vinafanyika). Hamna kitu kisicho na plan. Where is the plan??? Je amesha-evaluate project alizokwisha zi-implement?? We need substance.
 
bora umegundua huna la kuongea mbele za watu. Sasa kama ulijua hotuba yake ilitosha vijineno vyako ulileta vya nini jamvini? Next time ukija hapa ujue unaongea na wenye akili timamu,si kudhani uko kwenye hotuba ya jk,sawa? Ok bora umekubali.

Leo JK amekimaliza Chama cha Demokaya na Magwanda bana, wamekaa kimyaaa. Na ww ukiwemo na kesho tafuta kitabu ukisome kwa ufasaha ndipo ulete data zako kwani ww waonyesha ulikuwa unasinzia wakati Dr JK akimwaga data zake, kesho usile tena kiporo cha ugali na maharagwe ili uache kusinzia
 
Leo JK amekimaliza Chama cha Demokaya na Magwanda bana, wamekaa kimyaaa. Na ww ukiwemo na kesho tafuta kitabu ukisome kwa ufasaha ndipo ulete data zako kwani ww waonyesha ulikuwa unasinzia wakati Dr JK akimwaga data zake, kesho usile tena kiporo cha ugali na maharagwe ili uache kusinzia

Hivi watu na akili zenu mnasifia usaha ule wa Jk!
 
FaizaFoxy, umejiunga JF tarehe 9/5/2011 na leo tarehe 8/6/2011 unatimiza siku 30 sawasawa na mwezi moja. Katika muda huo una posts zaidi ya 850 ikiwa na maana kwamba kwa siku moja (masaa 24) unatuma posts karibu 30 na zote ni katika kuitetea CCM. Napendekeza upewe tuzo maalumu na uongozi wa JF kwa kuweka rekodi katika uchangiaji kwenye mada hasa zile zinazomgusa Kikwete bila kulala, hongera sana !

Kila akiingia hapa anakua kazini/kibaruani (malipo maalumu), tofauti na sisi ni uzalendo na curiosity yakutaka ku-learn from other people's views. Ukiona mtu anabisha kila kitu ujue huyo hana nia yakujifunza anatimiza tu wajibu wake uliomleta hapa.
 


Mkuu na Wana JF,

Rais anae jiaminia hawezi akajisifia maendeleo ya uchumi kwa Budget ya kutegemea msaada, JK ulikuwa serikali ya Mwalimu mpaka sasa na elimu ya Uchumi unayo hivi ulishindwa nini kuweka historia ya kujenga uchumi japo kwa kuibia strategy za nchi zingine kama Malaysia in 1980's ilikuwa tu sawa na nchi yetu mbali na vita ya Uganda kweli Kagame katoka Juzi tu kwenye vita ya wenyewe ambayo ni mbaya kuliko ya Uganda na wana kuwa kiuchumi kwa nchi ndogo kama ile Kagame ndio anaonyesha kuwa ni Rais mwenye msimamo na wapi anaupeleka uchumi hata kama nae ana mabaya yake lakini wapi anaitazama future ya wa nyarwanda.

Hapa kwetu ni kusisitiza wawekezaji tuuuu na kuomba misaada na kukali siasa chafu za kudidmiza uchumi na kujisfia uchumi wa makaratasi ati umekuwa but in real sense wananchi wanapigwa na kipigo cha uchumi mgumu maisha magumu.

JK imefika mahali kama nchi umishindwa omba msaaada tuuuu tabia ya kudharau mapendekezo ya wasomi wa uchumi ni mbaya acheni siasa za fitina hapo IKULU


Acha kuzungumza kinadharia weka data kuanzia tunapata uhuru 1961 - 2010 , kila mwaka kwenye bajeti utegemezi ulikuwa kiasi gani ? acha bla bla ww mfuasi wa Chama cha Demokaya na Magwanda
 
Kila akiingia hapa anakua kazini/kibaruani (malipo maalumu), tofauti na sisi ni uzalendo na curiosity yakutaka ku-learn from other people's views. Ukiona mtu anabisha kila kitu ujue huyo hana nia yakujifunza anatimiza tu wajibu wake uliomleta hapa.

Nasikia Lowasa yuko kwenye Press ya JK?
 
Awapiga kijembe CDM, kwa lawama na kuuza sura twenye TV, kulalamikia kila kitu.

Anadai CDM wanafanya maandamano nchi nzima kutukana, hahaha nimeipenda hii,

Angenisaidia kuthibitisha hayo matusi hata mie ningeenda kuangalia hyo hotuba yake. What a f**#@k speech is he delivering
 
Back
Top Bottom