Rais Kikwete kuzungumza na Wazee wa Dar jioni ya leo (Nov 18, 2011)

Status
Not open for further replies.
bado sijaona analoongea la maana, namshangaa nasema katiba yetu ni nzuri
sasa
kama nzuri kwann wao wenyewe wanaratibu mabadiliko tena kwa kupitisha mswada wa leo huku wakijua inalinda maslahi yao wenyewe
hapa hatuna rais bali mr handsome from uswazi.
sisi hatutaki viraka tunataka katiba mpya
 
Mheshimiwa Rais Dr Jakaya Mrisho Kikwete leo ataongea na wazee wa Dar-es-salaam kuanzia saa kumi jioni. Itarushwa live na vituo vya TV kama TBC.

USIKOSEEEEEEEEEEEEEEEEE.

Wazee wa Dar au Wazee wa CCM. KWANINI HACHAGUI KWENDA KUZUNGUMZA NA WASOMI WA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM, badala yake anataka wamkusanyie wazee wa nyumba kumi wenye njaa na wanaolizika kuvikwa tisheti mpya ya kijani. KIKWETE NI MWOGA NA HAJIAMINI KWA LOLOTE MBELE YA WASOMI KWA KUWA HATA MWENYEWE ANAJIJUA NI DHAIFU.
 
anasema katiba ya sasa ni nzuri ila tumepiga hatua ya maendeleo kwa miaka 50 iliyopita, na akasema enzi hizo ukumbi ungetawala weusi tiiii kwa kuvaa kaniki, na kwa sasa hakuna makuti, shule ziko bwerere na haya ndo mema ya katiba hii.
 
anasema katiba ya sasa ni nzuri ila tumepiga hatua ya maendeleo kwa miaka 50 iliyopita, na akasema enzi hizo ukumbi ungetawala weusi tiiii kwa kuvaa kaniki, na kwa sasa hakuna makuti, shule ziko bwerere na haya ndo mema ya katiba hii.

kama ni nzuri kwa nini ameruhusu wabunge wake wawapuuze wananchi na kwa niniaanzishe mchakato wa katiba mpya?
 
Natamani umeme ungekuwepo huku kwetu ili nijionee mwenyewe..anyway nitatafuta marudio, Kwa mnaoangalia hivi yuko anatumia kichwa chake au Yuko anadesa kwenye makaratasi kama kawa?
 
hakika yakupasa ufurahie sana kumsikiliza rahisi bora JK
ari.jpg
 
Bunge la katiba litajumuisha wabunge wote na wawakilishi na watu wengine zaidi ya 300.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom