Ha ha haaaaaaa hiyo sehemu watu wengi sana wanaifahamu ni Islamic seminary na hakuna mtu yeyote anae zuiwa kuingia. Hata ww ukienda watakukaribisha tu mkuu
Mkuu waweza piga picha hizo compound.tuletee picha tafadhali....
Hao watoto ni wa Kitanzania?
...moja ya kiapo ni kunywa damu ya osama na wengine...
Kwani wamarekani wao ni akina nani mpaka wawe wanawawajibisha marais wa nchi nyingine? mbona marais wa marekani wanamakosa kibao na hatuoni hizo kauli za kuwajibishwa kwao? marekani wamewaua viongozi wengi wa afrika na kupandikiza vikaragosi vyao kutawala kama marais nani amewachukulia hatua? nani alimpindua kwame nkrumah?, nani alimuua lumumba na kumuweka madarakani mobutu? nani kawachukulia hatua wote hao?
Umefanya Uchunguzi wa Kina. Au unataka tukuamini tu kwa kuanza na 'Ninachokiandika hapa sio udaku wala tetesi, ndio ukweli wenyewe.'
Naomba kukumbushwa kama nitakuwa nimesahau, hivi lile sakata la Dr Mwakyembe la kutaka kuuwawa, katika simulizi zake si alitaja eneo hilo Kiwalani kwamba Al shabab walifikia huko?
Mzee Mwanakijiji, usihofu hizi ni porojo tuu untill proven beyond reasonable doubt.Jamani, mbona nasikia kizunguzungu hili ni gumzo tu, udaku, porojo, tetesi au ni kitu gani hiki?
Ha ha haaaaaaa hiyo sehemu watu wengi sana wanaifahamu ni Islamic seminary na hakuna mtu yeyote anae zuiwa kuingia. Hata ww ukienda watakukaribisha tu mkuu