Rais Kikwete kutohutubia taifa mwisho wa mwezi Mei

Woote mumekosea, sababu kubwa ni kuwa amepata taarifa za kiiterejensia kuwa wananchi wote sasa hivi wanamdharau wala hawamsikilizi tena. Tehe tehe tehe!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Hana cha kuongea kabisa? Vipi mfumko hatari wa bei? Vipi msimamo wa nchi kuhusu mabomu pale Libya? Inakuwaje hali pale kamati ya bunge inapokataa kupitisha bajeti ya wizara? (Mawasiliano) Hata basi utueleze fedha ulizoagiza zirejeshwe (za EPA) zilipo Mzee. Wewe ni rais wetu tumekuchagua kwa kura nyingi tupate unafuu wa maisha na sio ugumu tunaouna sasa. Please Mr. President say something plse!!!!!!!!!!
 
Hamna jipya...Mimi TV yaangu huwa imenizoea ina skip automatically to next channel kama kwenye channel niliyoweka kuna hayo mazungumzo ya Mwezi..Kama vipi acha kabisa kuzungumza mkuu maana raia hawashobokei kabisa wanakuona muigizaji!!
 
Mheshimiwa Mtukufu Rais wa JMT, umetumia haki yako ya msingi. Unaweza kuongea au kutoongea. Ni vizuri umeamua kutoongea maana kuna vitu vingi watu wangependa kusikia msimamo wako kama vile:
  1. Malipo kutoka BAE
  2. Kwanini wahisani wamesusa kuchangia bajeti ya 2010/2011
  3. Mauaji na Unyanyasaji wa raia na polisi wako (Nyamongo na Tabora)
  4. Msimamo wako kuhusu Libya na NATO
  5. Ubadhirifu wa fedha za "Economic Recovery" walizopewa mabenki wakati hakuna hasara
  6. Hali ya miundo mbinu nchini
  7. Maendeleo ya utekeleza wa ahadi zako kwa wananchi wakati wa kampeni
  8. Manung'uniko ya watu wa Arusha kuwa unawakomoa na ndiyo maana mikutano unahamishia Dar.
  9. Ripoti ya Ufisadi iliyotolewa hivi karibuni
  10. Ugumu wa maisha uliyosababishwa kwa kupanda kwa gharama za vitu mbalimbali pamoja na huduma za jamii. (bei ya mafuta, gesi, umeme, nafaka, nk)
  11. n.k.

... baada ya kushindwa kuyafunika hayo through habari za kikombe cha babu, tuendelee kusubiri sinema ingine. Safari hii sijui changa la macho itakuwa nini kuyafunika.
 
kama rais anafikiri ana cha kusema basi awaite waandishi wa habari wamuulize maswali kuhusu mambo mbalimbali.
 
kama rais anafikiri ana cha kusema basi awaite waandishi wa habari wamuulize maswali kuhusu mambo mbalimbali.
Anaweza kuwaita ikiwa tu maswali ya kuulizwa atayatunga mwenyewe, vinginevyo rejea katuni ya Gado inayowahusu baadhi ya waandishi wa Tz na rais
 
JK na wanaomzunguka wanajua fika kwamba value for money kwa hizo hotuba za mwisho wa mwezi ni zero. Hii ni kutokana na kuto-address issue that matters most as far as wananchi are concerned.

In other words ni hivi whether anahutubia au hautubii I doesn't make any difference to a common mwananchi. It does to waandaji wa hotuba na wapiga picha za video kwa kukosa perdiem.

that said maana yake ni
 
atleast ile email ya yahoo wameipotezea.....ilikuwa inatia kichefuchefu, mwanaume mzima unaweza hisi una mimba yani.
 
kama rais anafikiri ana cha kusema basi awaite waandishi wa habari wamuulize maswali kuhusu mambo mbalimbali.

Njia sahihi ilikuwa ni kuongea press kidogo na kuaacha wanahabari kumuuliza maswali. Hili halitakuja tokea kutokana na weledi wa raisi wetu.

Hili swala la kujirecord kisha inaruswa hewani lingekuwa na tija kama lingekuwa linagusa issues that matters to common mwananchi Maswali ya papo kwa papo bila simbi sio kwa JK administration.
 
JK-Mei.jpg

Shida ya kuwa kilaza ndiyo hii, haongozi nchi kwa mkakati na mipango ya utekelzeji madhubutu, ndiyo maana hana la kusema, kama ungekuwa na mikakati lazima ungetake kuupdate Watanzania maendeleo. Mpaka CDM wamtishe ndo utamwona anatishia. ****** Umerudisha Nchi hii miaka 15 nyuma.:pound:
 
Tangu uzaliwe kuna kitu kuhusu JK umewahi kupenda? Nadhani unajua huwezi hata kutingisha upepo coward.

Acha kuwashambulia wenzio wewe! Tangu umezaliwa au umjue Jeykei ni jambo gani la maana amewahi kufanya zaidi ya kulalamika kama mtu asiye na mamlaka yoyote? Hana jipya mwache aende zake!
 
Back
Top Bottom