Hivi great thinking ni kutukana? Huhitaji kufikri ili kutukana leteni hoja hata Kama ni ya kupinga. Aidha upinzani siyo kupinga kila kitu.
lakin ni kwel HAKUNA CHA KUZUNGUMZA?
Hivi great thinking ni kutukana? Huhitaji kufikri ili kutukana leteni hoja hata Kama ni ya kupinga. Aidha upinzani siyo kupinga kila kitu.
Je,atahutubia bunge la bajeti 2011/12?....kama hapana,lini atazungumzia mafanikio(?)/matatizo ya mwaka wa fedha wa 2010/11?...lazima atupe mustakabali wa mwaka wa fedha,pia azungumzie ripoti ya PCCB,Nishati na mwelekeo wake,Chakula na bidhaa muhimu kama mafuta,ajali za barabarani,mfumo wa elimu(matokeo ya mitihani na migogoro ya vyuo vikuu),mwelekeo wa taifa kuhusu katiba mpya,ufanisi wa kambi ya upinzani bungeni,ufanisi wa CCM bungeni,ripoti ya matembezi yake wizara mbalimbali,maoni yake na msimamo wa Tanzania kuhusu Afrika ya kaskazini na mashariki ya kati,michezo i.e simba/taifa stars/U21 ETC......Tunataka kujua msimamo wake na serikali kwa ujumla kabla hatujaanza kuipitia bajeti.