Rafiki wa kiume wa holiday...

sory nimekosea heading...ni rafiki wa jinsia yeyote please..nitakuwa likizo from tar 30 kwa wiki mbili...
natafuta rafiki jinsia yeyote
mimi napenda sana nature....so nataka twende sehemu kama misituni hivi kusikiliza sauti za ndege,kuangalia maua.miti nk...
au kwenye water falls hv au kuangalia wanyama mbugani...
sifa zake...1-awe muongeaji sio saaana kidogo napenda story ila sio za kizushi za kunifurahisha.
2-awe na interest kama zangu maana kuna vitu tutaitaji kushare so ni vizuri tukawa na vitu flani in common.
3-kama ni mwanaume asinieleze mambo ya mapenzi sitaki kuwa mmu -wala sitaki aniambie umependeza mdomo wako mbaya/mzuri sitaki labda aniulize unataka sh ngapi....
4-awe mkristo naitaji awe ananielezea habari za yesu kwa sana
5..hii vacation itakuwa cost sharing so awe na balance
6.... miaka 32 hadi 41 aje na birth certificate7-awe single ... kama wewe ni mwanaume usiwe na mke/mpenzi
...kama mwanamke yeye sawa haina shida
kama upo interested nipm utume utume na picha kwa email dinacathu@yahoo.com au unaweza nipata facebook smile dinah,ili tufanye arrangements za safari na kufanya booking mbalimbali.
please sitanii naitaji kurefresh mind yangu iliovurugwa ....
sitaki uzushi...mimi ni mkweli daima ...so kama unatania pls stay away from me

natamani kujiunga kwenye hiyo tour yako...ila cjui vigezo na mashart. Smile
 
Last edited by a moderator:
sory nimekosea heading...ni rafiki wa jinsia yeyote please..nitakuwa likizo from tar 30 kwa wiki mbili...
natafuta rafiki jinsia yeyote
mimi napenda sana nature....so nataka twende sehemu kama misituni hivi kusikiliza sauti za ndege,kuangalia maua.miti nk...
au kwenye water falls hv au kuangalia wanyama mbugani...
sifa zake...1-awe muongeaji sio saaana kidogo napenda story ila sio za kizushi za kunifurahisha.
2-awe na interest kama zangu maana kuna vitu tutaitaji kushare so ni vizuri tukawa na vitu flani in common.
3-kama ni mwanaume asinieleze mambo ya mapenzi sitaki kuwa mmu -wala sitaki aniambie umependeza mdomo wako mbaya/mzuri sitaki labda aniulize unataka sh ngapi....
4-awe mkristo naitaji awe ananielezea habari za yesu kwa sana
5..hii vacation itakuwa cost sharing so awe na balance
6.... miaka 32 hadi 41 aje na birth certificate7-awe single ... kama wewe ni mwanaume usiwe na mke/mpenzi
...kama mwanamke yeye sawa haina shida
kama upo interested nipm utume utume na picha kwa email dinacathu@yahoo.com au unaweza nipata facebook smile dinah,ili tufanye arrangements za safari na kufanya booking mbalimbali.
please sitanii naitaji kurefresh mind yangu iliovurugwa ....
sitaki uzushi...mimi ni mkweli daima ...so kama unatania pls stay away from me

kwenye hizo Bold....wewe picha zako zinapatikana wapi?....
 
sory nimekosea heading...ni rafiki wa jinsia yeyote please..nitakuwa likizo from tar 30 kwa wiki mbili...
natafuta rafiki jinsia yeyote
mimi napenda sana nature....so nataka twende sehemu kama misituni hivi kusikiliza sauti za ndege,kuangalia maua.miti nk...
au kwenye water falls hv au kuangalia wanyama mbugani...
sifa zake...1-awe muongeaji sio saaana kidogo napenda story ila sio za kizushi za kunifurahisha.
2-awe na interest kama zangu maana kuna vitu tutaitaji kushare so ni vizuri tukawa na vitu flani in common.
3-kama ni mwanaume asinieleze mambo ya mapenzi sitaki kuwa mmu -wala sitaki aniambie umependeza mdomo wako mbaya/mzuri sitaki labda aniulize unataka sh ngapi....
4-awe mkristo naitaji awe ananielezea habari za yesu kwa sana
5..hii vacation itakuwa cost sharing so awe na balance
6.... miaka 32 hadi 41 aje na birth certificate7-awe single ... kama wewe ni mwanaume usiwe na mke/mpenzi
...kama mwanamke yeye sawa haina shida
kama upo interested nipm utume utume na picha kwa email dinacathu@yahoo.com au unaweza nipata facebook smile dinah,ili tufanye arrangements za safari na kufanya booking mbalimbali.
please sitanii naitaji kurefresh mind yangu iliovurugwa ....
sitaki uzushi...mimi ni mkweli daima ...so kama unatania pls stay away from me

Wakati wenu huu!! hata marafiki sasa ni wa kuapply! tena na vigezo halafu fasta fasta, hii kweli dot.com.
 
sory nimekosea heading...ni rafiki wa jinsia yeyote please..nitakuwa likizo from tar 30 kwa wiki mbili...
natafuta rafiki jinsia yeyote
mimi napenda sana nature....so nataka twende sehemu kama misituni hivi kusikiliza sauti za ndege,kuangalia maua.miti nk...
au kwenye water falls hv au kuangalia wanyama mbugani...
sifa zake...1-awe muongeaji sio saaana kidogo napenda story ila sio za kizushi za kunifurahisha.
2-awe na interest kama zangu maana kuna vitu tutaitaji kushare so ni vizuri tukawa na vitu flani in common.
3-kama ni mwanaume asinieleze mambo ya mapenzi sitaki kuwa mmu -wala sitaki aniambie umependeza mdomo wako mbaya/mzuri sitaki labda aniulize unataka sh ngapi....
4-awe mkristo naitaji awe ananielezea habari za yesu kwa sana
5..hii vacation itakuwa cost sharing so awe na balance
6.... miaka 32 hadi 41 aje na birth certificate7-awe single ... kama wewe ni mwanaume usiwe na mke/mpenzi
...kama mwanamke yeye sawa haina shida
kama upo interested nipm utume utume na picha kwa email dinacathu@yahoo.com au unaweza nipata facebook smile dinah,ili tufanye arrangements za safari na kufanya booking mbalimbali.
please sitanii naitaji kurefresh mind yangu iliovurugwa ....
sitaki uzushi...mimi ni mkweli daima ...so kama unatania pls stay away from me

mosi, ungeongeza ndondoo kuwa unapenda kwenda wapi hasa. pili, wa kukusaidia kurefresh mind umemtaja hapo no 4. usimkimbie wala huna haja ya kwenda msituni.
 
mosi, ungeongeza ndondoo kuwa unapenda kwenda wapi hasa. pili, wa kukusaidia kurefresh mind umemtaja hapo no 4. usimkimbie wala huna haja ya kwenda msituni.
nimesema tuwasiliane ili tuarrange pamoja mkuu kuweni waelewa basi jamani?
 
sory nimekosea heading...ni rafiki wa jinsia yeyote please..nitakuwa likizo from tar 30 kwa wiki mbili...
natafuta rafiki jinsia yeyote
mimi napenda sana nature....so nataka twende sehemu kama misituni hivi kusikiliza sauti za ndege,kuangalia maua.miti nk...
au kwenye water falls hv au kuangalia wanyama mbugani...
sifa zake...1-awe muongeaji sio saaana kidogo napenda story ila sio za kizushi za kunifurahisha.
2-awe na interest kama zangu maana kuna vitu tutaitaji kushare so ni vizuri tukawa na vitu flani in common.
3-kama ni mwanaume asinieleze mambo ya mapenzi sitaki kuwa mmu -wala sitaki aniambie umependeza mdomo wako mbaya/mzuri sitaki labda aniulize unataka sh ngapi....
4-awe mkristo naitaji awe ananielezea habari za yesu kwa sana
5..hii vacation itakuwa cost sharing so awe na balance
6.... miaka 32 hadi 41 aje na birth certificate7-awe single ... kama wewe ni mwanaume usiwe na mke/mpenzi
...kama mwanamke yeye sawa haina shida
kama upo interested nipm utume utume na picha kwa email dinacathu@yahoo.com au unaweza nipata facebook smile dinah,ili tufanye arrangements za safari na kufanya booking mbalimbali.
please sitanii naitaji kurefresh mind yangu iliovurugwa ....
sitaki uzushi...mimi ni mkweli daima ...so kama unatania pls stay away from me

Duh, smile hivi kwanini sredi zako huw haziko straight forward? Anyway,niko interested kujua kama utampata mwanaume anayefit hivi vigezo, loh!
 
Mie niko ndani kwa vigezo vyote, ngoja niangalie timetable yangu kama itafaa.

Napenda nature, lakini napenda zaidi kutazama anga iwe mchana au usiku, kuangalia bahari, milima, mabonde, mawe, maporomoko, mapango naweza tizama kiasi wanyama na mimea.
 
Duh, smile hivi kwanini sredi zako huw haziko straight forward? Anyway,niko interested kujua kama utampata mwanaume anayefit hivi vigezo, loh!
usjali mito .hujambo lakini?
 
Last edited by a moderator:
Mie niko ndani kwa vigezo vyote, ngoja niangalie timetable yangu kama itafaa.

Napenda nature, lakini napenda zaidi kutazama anga iwe mchana au usiku, kuangalia bahari, milima, mabonde, mawe, maporomoko, mapango naweza tizama kiasi wanyama na mimea.
poa waiting..............
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom