Rafiki wa kiume wa holiday...

sory nimekosea heading...ni rafiki wa jinsia yeyote please..nitakuwa likizo from tar 30 kwa wiki mbili...
natafuta rafiki jinsia yeyote
mimi napenda sana nature....so nataka twende sehemu kama misituni hivi kusikiliza sauti za ndege,kuangalia maua.miti nk...
au kwenye water falls hv au kuangalia wanyama mbugani...
sifa zake...1-awe muongeaji sio saaana kidogo napenda story ila sio za kizushi za kunifurahisha.
2-awe na interest kama zangu maana kuna vitu tutaitaji kushare so ni vizuri tukawa na vitu flani in common.
3-kama ni mwanaume asinieleze mambo ya mapenzi sitaki kuwa mmu -wala sitaki aniambie umependeza mdomo wako mbaya/mzuri sitaki labda aniulize unataka sh ngapi....
4-awe mkristo naitaji awe ananielezea habari za yesu kwa sana
5..hii vacation itakuwa cost sharing so awe na balance
6.... miaka 32 hadi 41 aje na birth certificate
kama upo interested nipm utume utume na picha kwa email dinacathu@yahoo.com au unaweza nipata facebook smile dinah,ili tufanye arrangements za safari na kufanya booking mbalimbali.
please sitanii naitaji kurefresh mind yangu iliovurugwa ....
sitaki uzushi...mimi ni mkweli daima ...so kama unatania pls stay away from me

mmmh smile vigezo vyote hivyo nani atafit sasa!!! Punguza kidogo baadhi nijitose...
 
ujue The Boss kuna mtu nilishakutana nae humu aliniambia hana miaka 33 alivokuja kama ana miaka 100 sijui....

Haaaahaaa! Did you read between the lines all his messages? You could identify his actual age kabla ya kwenda kumuona
 
yaani wewe ndio sio graetthinker kwani nilikuwa najaribu tu kukutest akili yako na nimegundua kuwa huna staha, na hujui kudeal na watu wanaokuboa hata kwa dakika 1! pole sana maana naona huna hata hekima kidogo ya kuweza kufukiri kabla hujasema...haya ningeingia kichwa kichwa si ingekula kwangu?! binadamu ni kuvimiliana mkubwa!unapayuka utafikiri nini ndugu yangu! umeshindwa interview ndogo tu...nina sifa zote sema tu umenitibua...
hii ni jf kama wewe sio great thinker ni ngumu kuishi huku .. naona upo na low mind subiri ukue byeee
 
kumbe unakutana na watu humu?
nilifikiri hutaki ku date humu?
hakuwa wa kudate aliniomba tukapate lunch nikaona vile kijana mwenzangu ngoja niende naweza kupata hata new idea...kumbe loh ! acha tu!
 
yaani wewe ndio sio graetthinker kwani nilikuwa najaribu tu kukutest akili yako na nimegundua kuwa huna staha, na hujui kudeal na watu wanaokuboa hata kwa dakika 1! pole sana maana naona huna hata hekima kidogo ya kuweza kufukiri kabla hujasema...haya ningeingia kichwa kichwa si ingekula kwangu?! binadamu ni kuvimiliana mkubwa!unapayuka utafikiri nini ndugu yangu! umeshindwa interview ndogo tu...nina sifa zote sema tu umenitibua...
umetumwa au?
 
ni nina cheti cha darasa la saba kinaonyesha mwaka nilio maliza shule!!!kita qualify?
 
Cheti cha kuzaliwa porini cha nini mamii... Kila la heri mwaya, na vacation njema. Labda ungejaribu kwenda mwenyewe manake anaweza akaja mtu na mastori yake akifikiri anakuchangamsha kumbe anazidi kukuboa tu.
 
kama kipi@rogi

sory nimekosea heading...ni rafiki wa jinsia yeyote please..nitakuwa likizo from tar 30 kwa wiki mbili...
natafuta rafiki jinsia yeyote
mimi napenda sana nature....so nataka twende sehemu kama misituni hivi kusikiliza sauti za ndege,kuangalia maua.miti nk...
au kwenye water falls hv au kuangalia wanyama mbugani...
sifa zake...1-awe muongeaji sio saaana kidogo napenda story ila sio za kizushi za kunifurahisha.
2-awe na interest kama zangu maana kuna vitu tutaitaji kushare so ni vizuri tukawa na vitu flani in common.
3-kama ni mwanaume asinieleze mambo ya mapenzi sitaki kuwa mmu -wala sitaki aniambie umependeza mdomo wako mbaya/mzuri sitaki labda aniulize unataka sh ngapi....
4-awe mkristo naitaji awe ananielezea habari za yesu kwa sana
5..hii vacation itakuwa cost sharing so awe na balance
6.... miaka 32 hadi 41 aje na birth certificate
kama upo interested nipm utume utume na picha kwa email dinacathu@yahoo.com au unaweza nipata facebook smile dinah,ili tufanye arrangements za safari na kufanya booking mbalimbali.
please sitanii naitaji kurefresh mind yangu iliovurugwa ....
sitaki uzushi...mimi ni mkweli daima ...so kama unatania pls stay away from me

namba 1 mimi sio muongeaji kivile...
namba 3 umesema ni cost sharing kwenye gharama sasa tena upewe pesa za nini na wkt gharama tunatumia kwa mahitaji ya vekesheni tu.
namba 6 umri huo umeniacha nyuma jaman
 
sory nimekosea heading...ni rafiki wa jinsia yeyote please..nitakuwa likizo from tar 30 kwa wiki mbili...
natafuta rafiki jinsia yeyote
mimi napenda sana nature....so nataka twende sehemu kama misituni hivi kusikiliza sauti za ndege,kuangalia maua.miti nk...
au kwenye water falls hv au kuangalia wanyama mbugani...
sifa zake...1-awe muongeaji sio saaana kidogo napenda story ila sio za kizushi za kunifurahisha.
2-awe na interest kama zangu maana kuna vitu tutaitaji kushare so ni vizuri tukawa na vitu flani in common.
3-kama ni mwanaume asinieleze mambo ya mapenzi sitaki kuwa mmu -wala sitaki aniambie umependeza mdomo wako mbaya/mzuri sitaki labda aniulize unataka sh ngapi....
4-awe mkristo naitaji awe ananielezea habari za yesu kwa sana
5..hii vacation itakuwa cost sharing so awe na balance
6.... miaka 32 hadi 41 aje na birth certificate
kama upo interested nipm utume utume na picha kwa email dinacathu@yahoo.com au unaweza nipata facebook smile dinah,ili tufanye arrangements za safari na kufanya booking mbalimbali.
please sitanii naitaji kurefresh mind yangu iliovurugwa ....
sitaki uzushi...mimi ni mkweli daima ...so kama unatania pls stay away from me

hapo tuu nitafail may be uondoe hicho kigezo
Mhhh sis huwa sikuelewi elewi maana interest zako ni balaa
Sasa wiki mbili halafu tutakuwa tunalala mzungu wa reli au vyumba tofauti au ni huko huko msituni
 
hapo tuu nitafail may be uondoe hicho kigezo
Mhhh sis huwa sikuelewi elewi maana interest zako ni balaa
Sasa wiki mbili halafu tutakuwa tunalala mzungu wa reli au vyumba tofauti au ni huko huko msituni
tutalala wote kwani sisi ni couple bwana ...just friends mida ya kulala kila mtu na chumba chake au!
 
sory nimekosea heading...ni rafiki wa jinsia yeyote please..nitakuwa likizo from tar 30 kwa wiki mbili...
natafuta rafiki jinsia yeyote
mimi napenda sana nature....so nataka twende sehemu kama misituni hivi kusikiliza sauti za ndege,kuangalia maua.miti nk...
au kwenye water falls hv au kuangalia wanyama mbugani...
sifa zake...1-awe muongeaji sio saaana kidogo napenda story ila sio za kizushi za kunifurahisha.
2-awe na interest kama zangu maana kuna vitu tutaitaji kushare so ni vizuri tukawa na vitu flani in common.
3-kama ni mwanaume asinieleze mambo ya mapenzi sitaki kuwa mmu -wala sitaki aniambie umependeza mdomo wako mbaya/mzuri sitaki labda aniulize unataka sh ngapi....
4-awe mkristo naitaji awe ananielezea habari za yesu kwa sana
5..hii vacation itakuwa cost sharing so awe na balance
6.... miaka 32 hadi 41 aje na birth certificate
kama upo interested nipm utume utume na picha kwa email dinacathu@yahoo.com au unaweza nipata facebook smile dinah,ili tufanye arrangements za safari na kufanya booking mbalimbali.
please sitanii naitaji kurefresh mind yangu iliovurugwa ....
sitaki uzushi...mimi ni mkweli daima ...so kama unatania pls stay away from me
Hata kama ameoa au kuolewa?
 
tutalala wote kwani sisi ni couple bwana ...just friends mida ya kulala kila mtu na chumba chake au!

Mhhh kulala wote wakati si couple ni balaa naweza tenda dhambi bure
nahitaji na mimi nipate liwazo na mimi sasa hiyo ni mojawapo ya kitulizo aise
Ngoja nifikirie namna ya kukiruka hicho kikwazo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom