Nyamayao
JF-Expert Member
- Jan 22, 2009
- 6,966
- 2,352
Sasa itakuwaje ukiwakuta baa siku wanapata mvinyo ndio unatambulishwa huyu ni rafiki yangu. Na kiukweli ni rafiki yake. Utamuamini?
amemtolea wapi huyo rafiki wa kike, wakati rafiki wake wa kike ni mie?...mie wife na rafiki yake mkubwa sana, acnitafute ubaya kabisa.