compressor
Member
- Nov 26, 2009
- 76
- 0
hatari ni kumtambulisha na si baada ya hapo kaka,je iwapo utatambulisha na baadae baada ya mwenzako kujua mengi kuhusiana na nyinyi akachepuka kimawazo?hatari huanzia hapoHatari gani wakati ni urafiki wa kawaida tu? Namleta nyumbani wife anampikia chai, wanapiga stori kama kawaida. Kuna hatari gani hapo?