Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,358
Eti Jamani:
Kwa wale wenye mahusiano ya dhati ya kimapenzi. Wenye ndoa zao na wachumba ambao wanatarajia kuingia kwenye ndoa. Au basi ma-boy/girl friends wenye mahusiano ya kingono.
Inawezekana mtu ukawa na rafiki wa jinsia tofauti. Urafiki kwa maana ya urafiki usiohusiana na mambo ya ngono. Mnapiga stori, mnabadilishana mawazo, mnashauriana mambo mengi, mnasaidiana kwa mambo mbalimbali na vitu kama hivyo (Carmel unalielewa hili, japokuwa urafiki wako ulivuka mipaka ukaibua ndoa.)
Je ni sahihi rafiki kama huyu kumtambulisha kwa mumeo/mkeo/mchumba? Yaani Carmel amtambulishe Geoff kwa mume wake kuwa huyu ni rafiki yangu. Au Fidel80 amtambulishe nyamayao kwa mkewe kuwa huyu ni rafiki yangu?
Nina rafiki yangu wa kike nataka nimtambulishe kwa wife, nahofia nisije nikazua msala.
CAN YOU? IS IT REASONABLE?
Kwa wale wenye mahusiano ya dhati ya kimapenzi. Wenye ndoa zao na wachumba ambao wanatarajia kuingia kwenye ndoa. Au basi ma-boy/girl friends wenye mahusiano ya kingono.
Inawezekana mtu ukawa na rafiki wa jinsia tofauti. Urafiki kwa maana ya urafiki usiohusiana na mambo ya ngono. Mnapiga stori, mnabadilishana mawazo, mnashauriana mambo mengi, mnasaidiana kwa mambo mbalimbali na vitu kama hivyo (Carmel unalielewa hili, japokuwa urafiki wako ulivuka mipaka ukaibua ndoa.)
Je ni sahihi rafiki kama huyu kumtambulisha kwa mumeo/mkeo/mchumba? Yaani Carmel amtambulishe Geoff kwa mume wake kuwa huyu ni rafiki yangu. Au Fidel80 amtambulishe nyamayao kwa mkewe kuwa huyu ni rafiki yangu?
Nina rafiki yangu wa kike nataka nimtambulishe kwa wife, nahofia nisije nikazua msala.
CAN YOU? IS IT REASONABLE?