Baija Bolobi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 1,093
- 1,726
Hii hapa imeripotiwa na IPP kutoka Musoma jana.
Tangold ambayo tulielezwa ni ya serikali ilisajiliwa Mauritius na mmoja wa wanahisa ni Andrew Chenge, lakini tunaambiwa mwenye hisa anaweza kuzimilikisha kwa mke, mtoto au mpwa...hivi mpwa wa serikalini nani, alihoji Dr. Slaa.
My Take: Huyu jamaa kwa ujenzi wa hoja hajambo. Anajua kusoma reports mbalimbali na kuzikumbuka kwa wakati wake. Msaidizi wa JK aliwahi kuniambia kuwa kinachomponza JK ni kusoma au kusikiliza "Executive Summaries" za ripoti mbalimbali anazoagiza afanyiwe.
Tangold ambayo tulielezwa ni ya serikali ilisajiliwa Mauritius na mmoja wa wanahisa ni Andrew Chenge, lakini tunaambiwa mwenye hisa anaweza kuzimilikisha kwa mke, mtoto au mpwa...hivi mpwa wa serikalini nani, alihoji Dr. Slaa.
My Take: Huyu jamaa kwa ujenzi wa hoja hajambo. Anajua kusoma reports mbalimbali na kuzikumbuka kwa wakati wake. Msaidizi wa JK aliwahi kuniambia kuwa kinachomponza JK ni kusoma au kusikiliza "Executive Summaries" za ripoti mbalimbali anazoagiza afanyiwe.