utani huu mieleka ukaifanyie nini?Nawaadmire wanawake wanaocheza mieleka mi sijui.
utani huu mieleka ukaifanyie nini?Nawaadmire wanawake wanaocheza mieleka mi sijui.
duh u hv squire qualities!I admire myself.
like brother like a sisterLizzy, kwa mimi kuitolea nje sketi iliyojileta yenyewe hasa kama inakidhi viwango vya uumbaji uliotukuta, ni sawa na kuidhulumu nafsi yangu. Kula ni kula tu, vibaya kukomba mboga!
Unajua nakutafuta sanaduh u hv squire qualities!
like brother like a sister
huachi sketi,haachi suruali
usimind utani tu ila watu husema kama kaka mtu ni mwingi na dada mtu naye mwingi
Unajua nakutafuta sana
Mwambie aache wivuhiyo lugha itaniponza kwa mdada rafiki yangu kipenzi wa hapa JF.
hilo ni rahisi kwako kulisema (mwambie mwenyewe)ila mimi kumtamkia yeye itakuwa balaa au hutujui wadada?Mwambie aache wivu
Good good!
Mi nawaadmire wadada walio tulia kwenye ndoa zao!!
Wamama wanaohangaika kulea watoto wao wenyewe!!
Wakaka/wababa wakweli na waaminifu kwa wenzi wao.
Wababa wasiokimbia majukumu.
Vijana wenye mitizamo hasi!
Na wote wanaokwepa kuwatapeli wenzao iwe kwenye mapenzi au maishani kwa ujumla!
Pia wote wanaoleta thread na kutoa michango ya mafunzo hapa jamvini!
Penda anayemwogopa Muumba na haya yote atayaweza...vinginevyo utakuwa unatwanga maji kwenye kinu
Na je nikisema nina ku-admire itakuwa balaa??hilo ni rahisi kwako kulisema (mwambie mwenyewe)ila mimi kumtamkia yeye itakuwa balaa au hutujui wadada?
pls edit usije ukatuharibia ushostisti wetu bureNa je nikisema nina ku-admire itakuwa balaa??
Ahaaa ahaaa huyo shosti wako kiboko, mwambie avunje ukimyapls edit usije ukatuharibia ushostisti wetu bure
wewe unaona nafanya utani ila ni kweli u knw always sifichi mambo madogo yanayonizunguka
which is which?Ahaaa ahaaa huyo shosti wako kiboko, mwambie avunje ukimya
jamani leo ningependa tujadili hiki kitu
sometimes unakutana na watu wanakugusa kwa tabia zao
quality fulani ambazo pengine unatamani kuwa nazo lakini huna
au huwezi kuwa nazo.....
mfano wapo watu wana uwezo wa kusamehe hata kosa liwe kubwa vipi
wengine hawana wivu kabisa,hata akikukuta unaongea na mkewe
hamgombani kabisa....
wengine hawakasiriki kabisa hata uwafanye nini....
na kadhalika na kadhalika
sasa wewe ni quality ipi ambayo huna but ungetamani kuwa nayo???????
mimi huwa nawa admire sana watu ambao wana uwezo wa kukataaa
mwanamke mzuri kwa sababu tu yupo tayari na mwingine
tena bila kuonja....
nilikutana na dogo mmoja nikasema...
why i am not like him lol
haya nicango yenu tafadhali..........
Lizzy, kwa mimi kuitolea nje sketi iliyojileta yenyewe hasa kama inakidhi viwango vya uumbaji uliotukuta, ni sawa na kuidhulumu nafsi yangu. Kula ni kula tu, vibaya kukomba mboga!