AmeenMwenyezi MUNGU ampumzishe Roho za marehemu,mahali wanapo stahili
ni uzma bwawa.. sjui kpande hiko...?Oyaa dunga niaje
Marehemu hasemwi vibaya mbele ya kadamnasi. Huo ndio uungwana wa kiafrika.Umejenga majumba makubwa Tabata, kisirisiri ili mumewe asijue, sasa sijui itakuaje? Kamq nakiona vile kibenten chake kikiwa tajiri.
Mumewe alikua haongei chochote kwake cz pesa hana
Natoka muda wowote saa yeyeto, naenda nchi za njee nakaa miezi hadi mwaka, sitaki mume unipangie pesa ni zangu elimu ni yangu
Ni nani atakayeishi milele? Siri ya maisha ya mwanadamu ipo kwa Mungu. Unafahamu kama kuna wababa/wamama wa hovyo?Ndo akina msuya hawa??
Hujawaho kwenda kwenu..miaka na miaka..baba yenu anawaita njoo nyumbana niongee nanyi..mnajifanya busy..mnachofanya ni kumchukua mama yenu na kukaa nae mjin na baba anabaki kijijin akiwa hana msaada wowote huku AMEINAMISHA nafsi yake kwa sababu ya matendo yenu...linakuja kutokea tatizo kubwa pasipo kureconcile na baba yenu mnajibeba mnaenda.........
Utii wa sheria (za barabarani) bila shurti ni suala la muhimu sana katika kupunguza matatizo ndani ya jamii. Ona sasa katika ajali hii kuna watoto wameachwa yatima na wategemezi wengine kama vile wazee wakikosa wa kuwapa pesa za matumizi.Daaag rest in paradise 😢... Kuna mwaka boss wangu walibadilishana gari na rafikiake sasa tukapanga safari kwenda tanga usiku kupita njia ya bagamoyo sasa wakati tunakaribia mto ruvu mbele kuna scania ikajaa upande wangu kila nikimpigia full light+honi wapi ikabidi nitoke nje ya barabara daah yule fala akapita na side mirror yani ilibaki kidogo atuue pale pale tukashauriana na mshua tukageuza kumfukuzia tukamkuta sijui ndo mizani pale wanapaita daraja la makofia kumbe dereva limelewa kampa gari turnboy aendeshe aisee uwo moto tulio uswasha alijuta hata sahau maisha yake yote.
Kweli duniani hakuna siriUmejenga majumba makubwa Tabata, kisirisiri ili mumewe asijue, sasa sijui itakuaje? Kamq nakiona vile kibenten chake kikiwa tajiri.
Mumewe alikua haongei chochote kwake cz pesa hana
Natoka muda wowote saa yeyeto, naenda nchi za njee nakaa miezi hadi mwaka, sitaki mume unipangie pesa ni zangu elimu ni yangu
Mchepuko naye atakufa ataziacha. Ni kawaida hamna jipya.Umejenga majumba makubwa Tabata, kisirisiri ili mumewe asijue, sasa sijui itakuaje? Kamq nakiona vile kibenten chake kikiwa tajiri.
Masuala binafsi haya.Mumewe alikua haongei chochote kwake cz pesa hana
Kifo hakichagui boss, hata angempa mumewe zote angekufa. Usione kama ni malipo ya alichokifanya.Natoka muda wowote saa yeyeto, naenda nchi za njee nakaa miezi hadi mwaka, sitaki mume unipangie pesa ni zangu elimu ni yangu
Mkia Juu Anawahi TaaItakuwa alikuwa mwendo wa ngiri
Acha tu dahUtii wa sheria (za barabarani) bila shurti ni suala la muhimu sana katika kupunguza matatizo ndani ya jamii. Ona sasa katika ajali hii kuna watoto wameachwa yatima na wategemezi wengine kama vile wazee wakikosa wa kuwapa pesa za matumizi.
Sasa funguka code hapa chini basi ili tujue tunalia au tunashehereka😳😳Umejenga majumba makubwa Tabata, kisirisiri ili mumewe asijue, sasa sijui itakuaje? Kamq nakiona vile kibenten chake kikiwa tajiri.
Mumewe alikua haongei chochote kwake cz pesa hana
Natoka muda wowote saa yeyeto, naenda nchi za njee nakaa miezi hadi mwaka, sitaki mume unipangie pesa ni zangu elimu ni yangu
Hata zikiwa barabara 10 kuna madereva wangese sana hasa wakipata magari ya kuazima.Kila siku tunapiga kelele suala la upanuzi wa barabara ya Morogoro road, line mbili za kupishana zitaendelea kusababisha ajali kila siku
Kuna haja ya upanuzi wa hivi barabara serikali iangalie hili ni muhimu sana maana hizi barabara inatumiwa sana na magari mengi na ndio inayofungua nchi.
Vifo vinaumiza sana..kuacha watoto wadogo hivyo...Taifa limepoteza Vichwa sana kwenye hii ajali😭😭😭
Daaa msiba mzito sana huo,hizi safari za usiku tuwe nazo makini sana kwa kweliView attachment 2707159View attachment 2707160
Watu wanne wamefariki dunia baada ya gari aina ya Toyota Prado walilokuwa wamepanda kugongana uso kwa uso na gari ya mzigo aina ya Scania majira ya saa nane usiku katika eneo la Mapatano, Kata ya Mbwewe, Halmashauri ya Chalinze, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Waliofariki katika ajali hiyo ni dereva wa Toyota Prado, pamoja na abiria watatu waliokuwa kwenye gari hilo.
Kamanda ya Polisi Mkoa wa Pwani, Piusi Lutumo, amesema chanzo cha ajali hiyo ni uzembe wa dereva wa Toyota Prado ambaye alihama upande wake na kugongana uso kwa uso na gari hilo la mizigo.
Miili ya marehemu wote imehifadhiwa katika Zahanati ya Lugoba mkoani Pwani kwa ajili ya uchunguzi na kutambuliwa na ndugu wa marehemu.
CHANZO: AZAM TV
Bongo watu wengi siyo madereva ila wanalazimisha. Kuendesha gari usiku kama mtu siyo mzoefu ni hatari. Uchvu au usingizi unaweza kuleta maluweluwe mabaya sana.Itakuwa alikuwa mwendo wa ngiri
Mara nyingi epuka sana kusafiri usiku kama inawezekana. Bongo watu wanaostahili kuitwa madereva ni wachache sana.Daaag rest in paradise 😢... Kuna mwaka boss wangu walibadilishana gari na rafikiake sasa tukapanga safari kwenda tanga usiku kupita njia ya bagamoyo sasa wakati tunakaribia mto ruvu mbele kuna scania ikajaa upande wangu kila nikimpigia full light+honi wapi ikabidi nitoke nje ya barabara daah yule fala akapita na side mirror yani ilibaki kidogo atuue pale pale tukashauriana na mshua tukageuza kumfukuzia tukamkuta sijui ndo mizani pale wanapaita daraja la makofia kumbe dereva limelewa kampa gari turnboy aendeshe aisee uwo moto tulio uswasha alijuta hata sahau maisha yake yote.
Kweli kaka usiku kupishana kwa barabara zetu inahitaji umakini wa hali ya juu sana kosa kidogo ajali kubwaMara nyingi epuka sana kusafiri usiku kama inawezekana. Bongo watu wanaostahili kuitwa madereva ni wachache sana.