mzeewaSHY
JF-Expert Member
- Aug 31, 2021
- 8,815
- 8,467
Duh 🙄 !! Maneno gani hiyo tena. ???!!!Umejenga majumba makubwa Tabata, kisirisiri ili mumewe asijue, sasa sijui itakuaje? Kamq nakiona vile kibenten chake kikiwa tajiri.
Mumewe alikua haongei chochote kwake cz pesa hana
Natoka muda wowote saa yeyeto, naenda nchi za njee nakaa miezi hadi mwaka, sitaki mume unipangie pesa ni zangu elimu ni yangu