anajua kila kitu ila anajaribu kumlinda sanga ambaye ni mwizi wa kuaminika.hii ni familia ya philemon luhanjo ambaye ni katibu mkuu ofisi ya rais.wanakula matunda yao kwa jasho letu.mtu kama wewe hata upewe source bado utaitaka hiyo source ikupe source.
Kweli jambo kama hili hujalisikia. Hakuna kwingine unakosoma habari zaidi ya jf?