RealTz77
JF-Expert Member
- May 18, 2009
- 738
- 40
Kuna hii habari nimeipata kupitia media kuwa haya mashirika ya mifuko ya pension ati hayana hela,yameishiwa,yana hali ngumu kifedha.
Binafsi hainiingii akilini ati shirika ambalo hata hawatumii msuli kuingiza mapato,serikali imeweka sheria ya wao kupata mapato,leo hii wameishiwaje hata kushindwa kulipa wanachama mafao?au ni janja ya walewale kujichukulia hela za uchaguzi?
Hela zimechangwa,wanafanyia biashara,zote hizi zipo wapi? Ebu wanachama na nyie waajiriwa wa hii mifuko mtueleweshe sisi kina waathirika, nchi hii itafika siku patakuwa hapatoshi hapa!
Binafsi hainiingii akilini ati shirika ambalo hata hawatumii msuli kuingiza mapato,serikali imeweka sheria ya wao kupata mapato,leo hii wameishiwaje hata kushindwa kulipa wanachama mafao?au ni janja ya walewale kujichukulia hela za uchaguzi?
Hela zimechangwa,wanafanyia biashara,zote hizi zipo wapi? Ebu wanachama na nyie waajiriwa wa hii mifuko mtueleweshe sisi kina waathirika, nchi hii itafika siku patakuwa hapatoshi hapa!