butron
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,367
- 7,437
Tuanze na yeye kwao kule Singida vijijini Kuna maji?Huyu jamaa mwanzoni nilidhani ni mtu anaesimamia ukweli bila kuyumbishwa kumbe nae ilikuwa njaa tu, baada ya kuteuliwa amekuwa mtu mwongo na mnafiki. Ni juzi tu bungeni Tulia alimzima kwa kutetea wizi, na bahati mbaya alichokuwa akikitetea, boss wake yaani Rais Samia alikuwa amekilalamikia kwa mkurugenzi nadhani halmashauri ya Mbeya, kwamba wamebuni mfumo wao wa ukusanyaji mapato nje ya mfumo wa serikali.
Leo amekuja na episode ya asilimia 78 ya maji vijijini. Haogopi kusema uongo. Ukimuuliza atakwambia leta ushahidi. JF, mlioko humu, ni yupi kijijini kwao kuna huduma ya maji safi na salama, labda tuanzie hapo.
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app