Amefanya nini huko alikotoka? Ni msomi, msomi wa nini, siasa za vyama vingi?Ni msomi na mwanasiasa aliyebobea, gud opportunity kwa CHADEMA kumpata huyu....
CHADEMA walishajifunza kutoka NCCR ya Mrema, kwamba ukitegemea individual personalities then you are only as good as the mood of that personality on any given Sunday. Akigombana na mkewe nyumbani akaja kuzua tafrani ofisini chama zima linayumba.
CHADEMA wameshatuma ujumbe wa wazi kabisa, mara nyingi, consistently, when their prima donna personalities zikitingisha viberiti, huwa wanawavua madaraka, hapendwi mtu mmoja mmoja, CHADEMA ni chama cha sera, si personalities.