Kila heri Prof. Safari huko kwenye chama kipya hiuyo ndio demokrasia..unao uhuru wa kuhama upendavyo
Lakini naamini huko cheo cha juu sahau mkuu hutapewa hata ulie vipi?
Of course utapata malipo kwa kutetea kesi kadhaa za chama, siyo mbaya..unless ukubali kuwa upande mwingine..
Lakini naamini huko cheo cha juu sahau mkuu hutapewa hata ulie vipi?
Of course utapata malipo kwa kutetea kesi kadhaa za chama, siyo mbaya..unless ukubali kuwa upande mwingine..