Shinto
JF-Expert Member
- Dec 6, 2010
- 1,781
- 96
Hilo ndio tatizo la foolhardy CDM christian supporters, mliodhani hata kuchochea mauji Arusha kungewapa umaarufu! Nasema Prof Safari akihimia CDM itakuwa a minus to CDM, kuna malalamiko mengi (founded kabisa) ya ukanisa ndani ya CDM akijifanya haoni atakuwa kanunuliwa! Waachie wenyewe chama chao!Watu wengine ovyoooooooo, hata uwezo wao wa kufikiri ni mdogo, sana, Yaani Profesa Safari ANUNULIWE na kanisa ili iweje, ?, kiufupi Kama profesa safari atahamia CDM, litakuwa pigo kubwa sana kwa CUF, watake wasitake.