MOSintel Inc
JF-Expert Member
- Mar 24, 2016
- 812
- 585
Muda haujafika...utang'oka tu maana ushakuwa jino linalosumbua kinywani
Mzee Li-pumbaNikimuangalia Lipumba najiuliza hivi alisahau kuwa alijiuzulu au anafikiri tumesahau. Kumbe sio sisi tu tunakumba. Wikipedia wanakumbukumbu pia.
Mbowe na lipumba nani amedum zaidi kwenye hicho cheo???Mbowe nae amedumu kwa muda mrefu sana CDM.
Wote ni wenyeviti wa kudumu.....acha mahaba ona ukweli.Mbowe na lipumba nani amedum zaidi kwenye hicho cheo???
Acha kupotosha wewe
kama hivi....Kesho akikanyaga ofisini tunamkamata!!
Acha ujinga wewe,wakati ana jiuzulu BAVICHA ndio walimwandikia barua ya kujiuzulu, Acha kuongea kama unaongelea nyuma.Sisi wana cuf tunamkubali sana prof Lipumba.
Wanaompinga ni bavicha
Na wanao mtaka lipumba ni uvccmKwi! Kwi! Kwi!
WAPINZANI WA UPINZANI NCHINI TANZANIA ....ACT...WAHALipumba piga kazi, mshawishi Dr Slaa aje kuwa katibu mkuu hapo.
CDM watatafuta ndimu zilipo.
Mna wabunge wangapi vile?ACT hatutapata hasara yoyote.
Ndio maana anawaendesha nyinyi na baba yenu ccm mpwito mpwitoMbowe nae amedumu kwa muda mrefu sana CDM.
Kapinge na lipumbaTupinge......
ACT CHAMA CHA WAHA WA MWANDIGAMbona hao wa Zanzibar hawaji bara?
Hivi bado tu hamjaona muelekeo.