Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 23,144
- 26,646
Buguruni mi main office, zenj ni Head office!Mkuu makao makuu ya CUF yapo buguruni.
Sijui ndo nn
Buguruni mi main office, zenj ni Head office!Mkuu makao makuu ya CUF yapo buguruni.
Wazalendo wapi jamani mbona mmepooza sana-->>HAJAMALIZA KAZI ALIYOTUMWA,LENGO NI MPAKA IKIWEZEKANA CUF ISOWEPO KATIKA USO WA TANZANIA,WAZALENDO TUMEKWISHA NGAMUA HILI./
Katika mahojiano na sauti ya Amerika VOA Swahili jioni hii, Mwenyekiti aliyejiuzulu wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba amesema kuwa yeye bado ni Mwenyekiti halali na kikao kilichomvua uanachama ni batili.
Akihojiwa na mwandishi wa habari mahiri Sunday Shomari, Mwenyekiti huyo aliyejiuzulu amesisitiza kuwa yeye bado ni mwenyekiti halali kwa mujibu wa katiba ya CUF na kikao kilichoongozwa na Mhe. Katani huko Unguja ni batili na yeye anaendelea na shughuli za kichama kama kawaida.
Naona mchezo ndo kwanza umeanza.
Na mnao mkubali ni magambaSisi wana cuf tunamkubali sana prof Lipumba.
Wanaompinga ni bavicha
Nadhani atakuwa ana tatizo la akili Chama kina katiba yeye anataka kufanya chama km Familia yake Halafu ana genge lake la wahuni nilona video wakimpiga mdadaHivi humu nchini Tanzania madaktari wa kupima watu akili wamekwisha ama? kuna watu wa type ya huyu mzee anatakiwa kuchukuliwa very serious otherwise twaweza mpoteza soon
nitakuwa ndotoni ikiwa makao makuu ya CCM ni lumumba na kule dodoma ni ofisi tuMakao makuu!!?
Upo ndotoni wewe
Sawa mkuu, nimekuelewakwanza kabisa elewa kwamba mimi si shabiki wa Lipumba.
pili sitafurahia akurudi kwenye kiti.
hivyo jaribu kuelewa maandishi kabla hujanijibu
Katika mahojiano na sauti ya Amerika VOA Swahili jioni hii, Mwenyekiti aliyejiuzulu wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba amesema kuwa yeye bado ni Mwenyekiti halali na kikao kilichomvua uanachama ni batili.
Akihojiwa na mwandishi wa habari mahiri Sunday Shomari, Mwenyekiti huyo aliyejiuzulu amesisitiza kuwa yeye bado ni mwenyekiti halali kwa mujibu wa katiba ya CUF na kikao kilichoongozwa na Mhe. Katani huko Unguja ni batili na yeye anaendelea na shughuli za kichama kama kawaida.
Naona mchezo ndo kwanza umeanza.
chadema acheni kushughuluka na cufNa mnao mkubali ni magamba
Katika mahojiano na sauti ya Amerika VOA Swahili jioni hii, Mwenyekiti aliyejiuzulu wa CUF Prof. Ibrahim Lipumba amesema kuwa yeye bado ni Mwenyekiti halali na kikao kilichomvua uanachama ni batili.
Akihojiwa na mwandishi wa habari mahiri Sunday Shomari, Mwenyekiti huyo aliyejiuzulu amesisitiza kuwa yeye bado ni mwenyekiti halali kwa mujibu wa katiba ya CUF na kikao kilichoongozwa na Mhe. Katani huko Unguja ni batili na yeye anaendelea na shughuli za kichama kama kawaida.
Naona mchezo ndo kwanza umeanza.
Aaah vijana wa buku 7 utawaweza vijembe vyao.Duh! Bavicha tena?
Wanaota hao ki Lumumba styleKama sijaelewa vile.....
Kumbe we bure kabisa nilidhani unamshauri Lipumba amshawishi Slaa waje waanzishe brand yaoLipumba piga kazi, mshawishi Dr Slaa aje kuwa katibu mkuu hapo.
CDM watatafuta ndimu zilipo.
Sijui umekula maharagwe ya wapi wewe?Sisi wana cuf tunamkubali sana prof Lipumba.
Wanaompinga ni bavicha