Prof. Kabudi: Sheria mpya za madini hazitahusu migodi inayoendelea

Walipotangaza matokeo ya kamati No1 nilisema sikutegemea na kwa unyenyekevu mkubwa nikawasifu kwa Tanzania kuingia kwenye chati ya ukweli na uwazi. Cha kushangaza wanasema ni reporti ya raisi-kweli ni reporti ya raisi anahaki ya kuiweka wazi au vinginevyo. Lakini tunapoambiwa hii ni vita ya wote halafu mambo "yanafichwa" kwa wengine ile spirit ya kuwa pamoja inapotea. Pongezi zangu nazifuta kabisa kweli ni wale wale.
kwanini mnakuwa wagumu kuelewa?CCM ni ile ile hata wenyewe waliimba.
 
Hapo wamechemka hamna haja ya kukamata makinikia ni usaniiiiii mtupu kama kweli.
 
Akitoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wajumbe wa Kamati ya Madini ya Bunge,Prof.Kabudi amesema kwamba sheria huanzia pale ilipotungwa kwenda mbele na sio kurudi nyuma. Akifafanua swala hilo waziri anasema kuwa mikataba iliyokwisha ingiwa kipindi kilichopita haitaguswa na sheria mpya ya madini. Waziri ameongeza kuwa kutafanyika majadili na makampuni hayo kuona jinsi ya kuweka mambo sawa.

Hivyo sheria mpya ya 2017 itahusu kampuni zitakazofuata.

Hii inamaana kuwa migodi mikubwa kama Geita,Buzwagi,Mwadui,Tarime itaendelea kuibiwa kwa sababu ina mikataba tayari ambayo imeingiwa na CCM

Mjumbe wa kamati Mh.Mnyika ameomba kuwa kama base ya sheria mpya ya madini ni ripoti ya makinikia basi ripoti hiyo wapatiwe wabunge ili waone kama recommendations za Kamati ya Makinikia zimezingatiwa. Akijibu swali hilo Kabudi amejibu kwamba ripoti hiyo ni ya Mh.Rais hivyo haitatolewa kwa mtu yeyote

My Take
Namuelewa sana Tundu Lissu mpaka naumia. Lakini kama mnasema ripoti za makinikia ni za rais kwa nini mlitutangazia kila mkoa kujitokeza kwenye TV kumtazama rais?si ilimaanisha ni ripoti ya wanananchi walioibiwa?

Rudi tena kamsikilize vizuri hasa pale alipozungumzia kilichofanya Wamiliki wa Acacia kuja Tz haraka
Halafu ujione unavyopotosha hawa washangiliaji wako humu
 
Nadhani sehemu kubwa ni utapeli. Haina mahali unapoweza kusema ndio pa kusimamia inaweza kukugeuka any time.
 
Duh, Mungu nisaidie nizidi kuwa na moyo wa uvumilivu. Kumbe ndio maana Lisu alisema zile report ni rubbish kabisa kwa sababu wanazisoma kutafuta kiki lakini wanajua hakuna watakachoweza kukigusa maana wana iba kwa mujibu wa sheria na mikataba tuliyojipigiria misumari wenyewe. Mungu ibariki Africa, wabariki viongozi wake. Dumisha uhuru na umojaaaa Muuungu ibariki Tanzaniaaa na watu wake...aaaah hasira hasira hasira hizi sasa *****
 
Akitoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wajumbe wa Kamati ya Madini ya Bunge,Prof.Kabudi amesema kwamba sheria huanzia pale ilipotungwa kwenda mbele na sio kurudi nyuma. Akifafanua swala hilo waziri anasema kuwa mikataba iliyokwisha ingiwa kipindi kilichopita haitaguswa na sheria mpya ya madini. Waziri ameongeza kuwa kutafanyika majadili na makampuni hayo kuona jinsi ya kuweka mambo sawa.

Hivyo sheria mpya ya 2017 itahusu kampuni zitakazofuata.

Hii inamaana kuwa migodi mikubwa kama Geita,Buzwagi,Mwadui,Tarime itaendelea kuibiwa kwa sababu ina mikataba tayari ambayo imeingiwa na CCM

Mjumbe wa kamati Mh.Mnyika ameomba kuwa kama base ya sheria mpya ya madini ni ripoti ya makinikia basi ripoti hiyo wapatiwe wabunge ili waone kama recommendations za Kamati ya Makinikia zimezingatiwa. Akijibu swali hilo Kabudi amejibu kwamba ripoti hiyo ni ya Mh.Rais hivyo haitatolewa kwa mtu yeyote

My Take
Namuelewa sana Tundu Lissu mpaka naumia. Lakini kama mnasema ripoti za makinikia ni za rais kwa nini mlitutangazia kila mkoa kujitokeza kwenye TV kumtazama rais?si ilimaanisha ni ripoti ya wanananchi walioibiwa?



Tulidanganywa kwa uongo mkubwa kuwa tutalipwa trillion 108, halafu watu wakashabikia sasa tumekiona cha moto
 
Yaaan Tanzania bado Sana, Kama sheria zinabagu... Mbona wazee wa ndiyooo walipotisha sheria ya bord ya Mikopo asilimia kumi na tano?
 
Tanzania ni inchi ya maajabu mengi Sana, na kwa utawala wa haya majizi ccm tusitegemee maendeleo
 
Akitoa ufafanuzi wa maswali mbalimbali ya wajumbe wa Kamati ya Madini ya Bunge,Prof.Kabudi amesema kwamba sheria huanzia pale ilipotungwa kwenda mbele na sio kurudi nyuma. Akifafanua swala hilo waziri anasema kuwa mikataba iliyokwisha ingiwa kipindi kilichopita haitaguswa na sheria mpya ya madini. Waziri ameongeza kuwa kutafanyika majadili na makampuni hayo kuona jinsi ya kuweka mambo sawa.

Hivyo sheria mpya ya 2017 itahusu kampuni zitakazofuata.

Hii inamaana kuwa migodi mikubwa kama Geita,Buzwagi,Mwadui,Tarime itaendelea kuibiwa kwa sababu ina mikataba tayari ambayo imeingiwa na CCM

Mjumbe wa kamati Mh.Mnyika ameomba kuwa kama base ya sheria mpya ya madini ni ripoti ya makinikia basi ripoti hiyo wapatiwe wabunge ili waone kama recommendations za Kamati ya Makinikia zimezingatiwa. Akijibu swali hilo Kabudi amejibu kwamba ripoti hiyo ni ya Mh.Rais hivyo haitatolewa kwa mtu yeyote

My Take
Namuelewa sana Tundu Lissu mpaka naumia. Lakini kama mnasema ripoti za makinikia ni za rais kwa nini mlitutangazia kila mkoa kujitokeza kwenye TV kumtazama rais?si ilimaanisha ni ripoti ya wanananchi walioibiwa?
Tusubiri hoja za ideologues from CCM Lumumba. Definitely watakuja na argument kwamba everything is on track, hiyo ndio kazi yao kuunga mkono kila tamko hata kama it's self contradictory. Ukweli ni kwamba katika hili, Serikali imebadilisha gia boksi ya manual kwenda auto gari ikiwa mteremkoni mwendo kasi. Wale wote waliovamia mgodi kule kwa Heche wakirudia tena, cha moto watakiona. Juzi kuna waziri au mbunge mmoja maarufu CCM (Jina nimesahau) alisema kwamba wanachofanya wananchi tarime ni sahihi as a strategy. Looks like he's still not conversant with the inconsistency and lack of direction under this populist regime. Poor him!

Ideologues Watashangilia policy effect on ongoing mining operations kwenye Makanikia, but what about the effect on Gold ambayo Lissu alituelimisha kwamba *tunaibiwa kwenye SHERIA* na *sio kwenye mchanga?* Oh Lord have mercy.

Viva Tundu Lissu, Viva.

Cc MsemajiUkweli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom