Baba Genovivah
JF-Expert Member
- Sep 1, 2013
- 756
- 249
Tundu Lisu the genius lawyer of our time, The man said the truth na CCM mnachuki na Lisu bhana yani wameona washakosea na kusema hadharani wakaona watampa credit Lisu so wameliua secretly, ili watz wamchukie Lisu kuwa alikuwa anawatetea wazungu wa ACACIA, Lisu kasema hamuweI kuwawajibisha kwa kuwa mlikubaliana na masharti ya mkataba na mpo MIGA ,Leo tumeyumbishwa na hati ya dharura na wameibuka kuwa sheria mpya haitaathiri migodi inayoendelea? That means mchanga utaendelea kuondoka na kampeni itaendelea kufanywa mpk kila MTU ajue tuna mkuu mzalendo kuliko waliowahi kuwako kumbe Dkt uchwara tu