Zulqarnayn
Senior Member
- Oct 17, 2011
- 107
- 50
Hivi huyu Januari Makamba si aliwahi kukusanyiwa pesa na dada yake kutoka kwa wazungu...ilikuwa USD 1mn hivi siyo? Inawezekana bado anazo pesa za kutumia huyu na sasa anawakoga wenzake kwa kujidai hataki posho na ana machungu na watanzania. Anatafuta cheap popularity tu huyu, hamna kitu gamba naye tu