kongomboli
Senior Member
- Apr 11, 2011
- 155
- 34
hivi punde mh. Hamis kigwangala ameweka status yake facebook juu ya mh. January makamba:
mhe. January yusuph makamba (mp, m-cc, mnec) has the following platform ya kuongelea: Bunge, kamati kuu ya ccm, halmashauri kuu ya ccm taifa, sekretariet ya ccm, kamati ya uongozi ya bunge...hivi ni haki na halali kwa yeye na nafasi yake kutoa kauli ya kupinga posho hadharani ilhali ana fursa zote hizi za kuzuia ama kurekebisha? Kama hazitaki hizo posho si angeweza tu kuacha kuzichukua, ama angeweza kushawishi chama na serikali kwamba hazifai na zitolewe ama zisiongezwe! Wenzangu mnaonaje hili! Hivi wana-ccm wenzangu tumerogwa ama?
zidumu fikra za mwenyekiti