Na subiri Masa aje akugongee li Thanks...LolNi wazi sasa Bunge limekuwa kimbilio la kila anaetaka Utajiri wa Haraka. tatizio hapa sio kutumikia wananchi au Kuonekna kama mkuu ktk Jamii bali ni kimbilio la Kutafuta posho kubwa sana huku kazi inayofanywa ni ndogo sana na haindenai na Kipato cha kazi ya yenyewe.
Ikiwa Leo Prof anaesomesha Chuo kikuu hupata Robo tu ya Posho ya Mbunge aliefika F4 au F6 ni wazi taifa linapoenda sipo.
Wabunge wawe wazalendo. waangalie maslahi ya taifa. waangalie umaskini wa Watz.
Kwa hapa naungana na Chadema na wale wote wanaotaka wabunge waondoshewe POSHO.
nchi maskini, wabunge matajiri.
hospital hakuna dawa. Wabunge wanakoga pesa.
Shule hakuna madawati. wabunge wanachota mapesa.
Walimu wanakimbia kusomesha. wabunge wanauana wanataka nafasi ya kwenda kuchota pesa bungeni.
Polisi hawana vitendea kazi. Wabunge wanaenda kuvuta mshiko mkubwa bungeni
maskini unaengezeka. wabunge wanatanua Mijengoni.
Wanafunzi wanakosa Ada. wabunge wanasomesha watoto wao nje ya nchi
Ikipita miaka 5 tu. mbunge huwa billionea. lkn mwanajeshi mkuu huambulia pesa za Chai na Chakula cha Jioni.
NI WAZI SASA WABUNGE WA CCM TUANGALIE TAIFA BADALA MTU BINAFSI
nimejaribu hata mimi kurejesha posho mwenyewe. Nimeona nyingi sana
no. Hapa taifa linaangamia
hahahhaha masa hamgongei we utaona tuuu, kwanza atapotezea!na subiri masa aje akugongee li thanks...lol
Ni kweli sema tu mambo yetu yalee ndo yanaharibu tuuu!kila siku ninapoint. Labda hupendezewi
nawewe ni great thinker?Leo mtakuwa wapi na Nape?...huu ni msimu wa viwavi mashambani,jamani wakulima tujiadhari!
Tangu uchaguzi hadi leo tumeshuhudia mengi hadi tunashindwa kushika lipi. Tuacheni sasa akili zetu zitulie tufikirie na kuchambua bajeti