Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Kabla hamjaenda mbali na mjadala hii hapa chini ndiyo barua ya zitto sasa cha muhimu kwa sasa ni ku-assess kama hayo majibu ya bunge yanakidhi maombi ya Zitto. Kwa maoni yangu bunge limeplay politics at its best, maana wao kama waajiri hawampi zitto hizo posho mikonomi sasa kuna ugumu gani kuzideposit huko KDI anakotaka. After all hii haitainvolve any bunge official to do it manually. Kwamba et labda spika itabidi akapange foleni benki....... inasikitisha kuona bunge linashindwa kwa statement yako maana yake ni kwamba zitto hajakataa posho ila anataka posho yake yeye ipelekwe KDI na si kwamba anataka iwanufaishe watz wote. Mawazo yangu hayo jamani. Hapa naona umimi zaidi ya kingine.