Tayari nimeongeza data zote za leo.
Kazi nzuri sana Luteni ... MUNGU akubariki na kukulinda.
Tayari nimeongeza data zote za leo.
Kwa data hizi lazima matumbo yawacheze.The table below displays data from ten key polls in the run-up to the 2010 general election. You can follow the link to track the average results and select each poll to view the data in more detail
.........................TOPS..TCIB...REDET..Synovate....JF....M/Halisi....CACT..M/nchi....DNews...UWT...AV %
Jakaya Kikwete.....19.......41.......71..........61........23.......08.........12........23........18........48.....32.4%
Willibrod Slaa........75......45.......12..........16.........68.......87........73.........71.......77........52.....57.6%
Ibrahim Lipumba....03......10.......10..........05.........03.......04.........09........05........02........00.....05.1%
Others................03......04........07.........18.........06.......01.........06........01........03........00.....04.9%
UPDATES 15 Oct 10
Umeudharau mwenyewe usiye mtanzania. WATANZANIA TUMEUKUBALIutafiti TCIB hauna kiwango, hautambuliki na haukubaliki lazima tuudharau na tuutupe
kwanza umekuja klwa shindikizo la chadema kujiweka sawa baada ya kutupwa kwa mbali na Kijikampuni husika hakitamnbuliki kwa wananchi, kwa hivyo umechakachuliwa na kuzakazuliwa
huu watz wameupuuza kabisa.
hongera watz kwa kuudharau
vichwa vinawauma........!utafiti TCIB hauna kiwango, hautambuliki na haukubaliki lazima tuudharau na tuutupe
kwanza umekuja klwa shindikizo la chadema kujiweka sawa baada ya kutupwa kwa mbali na Kijikampuni husika hakitamnbuliki kwa wananchi, kwa hivyo umechakachuliwa na kuzakazuliwa
huu watz wameupuuza kabisa.
hongera watz kwa kuudharau
As a matter of fact utafiti huu ndio ulikuwa na viwango vya juu kuliko zile mbili za Redet na Synoveta.Huu uliingia ndani kabisa kuangalia hata ushabiki wa chama kwa waliohojiwa.Hilo ni muhimu, na umeona independents walivyo wengi an asilimia kubwa wanamuunga mkono mgombea wa chadema. TCIB wamefanya utafiti hadi kuangalia umri etc. Please huu upupu wako uloandika hapo juu unanuka!!utafiti TCIB hauna kiwango, hautambuliki na haukubaliki lazima tuudharau na tuutupe
kwanza umekuja klwa shindikizo la chadema kujiweka sawa baada ya kutupwa kwa mbali na Kijikampuni husika hakitamnbuliki kwa wananchi, kwa hivyo umechakachuliwa na kuzakazuliwa
huu watz wameupuuza kabisa.
hongera watz kwa kuudharau