Elections 2010 Poll of polls; mjumuisho wa tafiti

Shukrani Luteni, hizi ndizo analysis tunzozihitaji kwa kweli. Ukiziangalia kwa karibu kabisa, utaona kuwa nyingine zote zinatoa result kwa ukaribu sana, isipokuwa za REDET na wenzao wa Synovate. Naomba Mkuu apewe hizi data ikiwezekana.

Mzee Busara

Huu si utafiti ni average ya tafiti na poll mbalimbali zinazofanyika, average huwa inakusanya data unazozipenda na usizozipenda.


Kama hizi ndio analysis mnazotaka basi mko mbali sana na ukweli.

Kabla hujakubali matokea ya tafiti kuna mambo kadhaa, nitayataja kwa uchache wake, ya kuyazingatia. Pamoja na mengine methodology iliyotumika kwenye utafiti na namba ya watu walioshiriki, kundi la watu walioshiriki n.k. Kama watafiti wote watakuwa wametumia njia (methodology) na statistical analysis moja, hapo matoeka yatakuwa comparable. Zaidi ni kama namba ya washiriki itakuwa almost similar; na vile vile kundi lililotoa maoni. Kama REDET na SYNOVATE waliohojiwa wengi wao ni wapenzi, washabiki, wakereketwa na wanachama wa chama cha Kikwete, basi matokea yanareflect mapendekezo ya walio wengi. Kama hao wengine unaosema wana matokea yanayokaribiana walihoji wapenzi, washabiki, wakereketwa na wanachama wa chama cha Slaa, basi usitegemee kukubalika vinginevyo.

Hata hivyo hizi polls ni perceptions za watu waliofikiwa tu. Wale ambao hawajafikiwa wanaweza kubadilisha ukweli wa mambo kabisa. Hii ni kwa sababu unavyoongeza namba ya sample, ndivyo unavyokaribiana na ukweli wa hali halisi ya jambo linalofanyiwa utafiti.
 
Kama hizi ndio analysis mnazotaka basi mko mbali sana na ukweli.

Kabla hujakubali matokea ya tafiti kuna mambo kadhaa, nitayataja kwa uchache wake, ya kuyazingatia. Pamoja na mengine methodology iliyotumika kwenye utafiti na namba ya watu walioshiriki, kundi la watu walioshiriki n.k. Kama watafiti wote watakuwa wametumia njia (methodology) na statistical analysis moja, hapo matoeka yatakuwa comparable. Zaidi ni kama namba ya washiriki itakuwa almost similar; na vile vile kundi lililotoa maoni. Kama REDET na SYNOVATE waliohojiwa wengi wao ni wapenzi, washabiki, wakereketwa na wanachama wa chama cha Kikwete, basi matokea yanareflect mapendekezo ya walio wengi. Kama hao wengine unaosema wana matokea yanayokaribiana walihoji wapenzi, washabiki, wakereketwa na wanachama wa chama cha Slaa, basi usitegemee kukubalika vinginevyo.

Hata hivyo hizi polls ni perceptions za watu waliofikiwa tu. Wale ambao hawajafikiwa wanaweza kubadilisha ukweli wa mambo kabisa. Hii ni kwa sababu unavyoongeza namba ya sample, ndivyo unavyokaribiana na ukweli wa hali halisi ya jambo linalofanyiwa utafiti.

Nafikiri hujui maana ya Poll of polls, kila tafiti na methodology yake na idadi yake ya watu si lazima ilingane kwa kila utafiti.
 
Wana JF, nimepokea hii katika barua pepe yangu:

Yafuatayo ni wastani wa majumuisho wa kura mbalimbali za maoni zilozoendeshwa kupitia tafiti mbalimbali kuhusiana na Uchaguzi Mkuu 2010. Kwa kuwa majumuisho yalifanywa wiki iliyopita kunaweza kuwa na mabadiliko. Kupata takwimu za uhakika bado unaweza kutembelea tovuti husika kwa baadhi.

....................... TOPS.... REDET Synovate..... JF.. .M/halisi. CACT Dailynews UWT Overall %

Jakaya Kikwete.. 18........ 71.......... 61......... . 22...... 08........ 12 . . . .18........... 48. . . 32.25%

Willibrod Slaa.... .76....... 12......... . 16.......... .69..... 87........ 73. . . . 77........... 52. . . 57.75%

Ibra Lipumba . . . .05........10.......... 05......... . 03...... 04........ 09 . . . . 02......... . 00. . . 04.75%

Others............. .. . 01........07.......... 18......... . .06...... 01...... . 06 . . . . 03 . . . . . 00 . . . . 05.25%


Naomba kuwakilisha
 
Subiri madongo!!nawajua labda wawe mapumzikoni!!Lkini tutashinda hata wakichakachua!!Wambie..................:A S thumbs_up:
 
Tuliletewa hii jana na member aendaye kwa jina la Luteni!(but nashauri uiweke katika mfumo mzuri zaidi wa ki-jedwali ili columns zielezee vizuri zaidi kuliko hivyo ilivyo.)

Lakini kimsingi habari ndiyo hiyo, sidhani kama wapambe wa JK watapenda kuitoa hii hadharani, nadhani watasema ni polls-uchwara kama kawaida!
 
Tuliletewa hii jana na member aendaye kwa jina la Luteni!(but nashauri uiweke katika mfumo mzuri zaidi wa ki-jedwali ili columns zielezee vizuri zaidi kuliko hivyo ilivyo.)

Lakini kimsingi habari ndiyo hiyo, sidhani kama wapambe wa JK watapenda kuitoa hii hadharani, nadhani watasema ni polls-uchwara kama kawaida!

Ooh, sijaioana . . . . nimepokea kwenye email. May be hakuna haja ya kuirudia. Au ngoja niiweke then Mods wanaweza kuunganisha
 
Ukiondoa REDET na SYNOVATE ambao wapo kwenye payroll ya CCM utaona ya kuwa hali ya JK ni ya kuchechemea haswaaaaaaaaaaa
 
Wana JF, nimepokea hii katika barua pepe yangu:

Yafuatayo ni wastani wa majumuisho wa kura mbalimbali za maoni zilozoendeshwa kupitia tafiti mbalimbali kuhusiana na Uchaguzi Mkuu 2010. Kwa kuwa majumuisho yalifanywa wiki iliyopita kunaweza kuwa na mabadiliko. Kupata takwimu za uhakika bado unaweza kutembelea tovuti husika kwa baadhi.

....................... TOPS.... REDET Synovate..... JF.. .M/halisi. CACT Dailynews UWT Overall %

Jakaya Kikwete.. 18........ 71.......... 61......... . 22...... 08........ 12 . . . .18........... 48. . . 32.25%

Willibrod Slaa.... .76....... 12......... . 16.......... .69..... 87........ 73. . . . 77........... 52. . . 57.75%

Ibra Lipumba . . . .05........10.......... 05......... . 03...... 04........ 09 . . . . 02......... . 00. . . 04.75%

Others............. .. . 01........07.......... 18......... . .06...... 01...... . 06 . . . . 03 . . . . . 00 . . . . 05.25%


Naomba kuwakilisha

Twaweza present this kwenye press conference kwa faida ya watanzania wengi kama tafiti nyingine zilivyofanya?
 
Kuna haja ya kuipublicise hii issue CCM waanze kuchachawa tena na tena.
Wapi Makamba
 
Tuliletewa hii jana na member aendaye kwa jina la Luteni!(but nashauri uiweke katika mfumo mzuri zaidi wa ki-jedwali ili columns zielezee vizuri zaidi kuliko hivyo ilivyo.)
PJ

Ni kweli ingependeza kuwa katika mfumo wa ki jedwali (table) lakini JF hawajaweka hiyo icon ya table, nilijaribu kuwaambia kipindi fulani watuwekee angalau vitu kama pie chart, histogram vinavyofikisha ujumbe kwa urahisi lakini hawakunijibu, inatubidi kulazimisha jedwali kwa kutumia space tab.
 
PJ

Ni kweli ingependeza kuwa katika mfumo wa ki jedwali (table) lakini JF hawajaweka hiyo icon ya table, nilijaribu kuwaambia kipindi fulani watuwekee angalau vitu kama pie chart, histogram vinavyofikisha ujumbe kwa urahisi lakini hawakunijibu, inatubidi kulazimisha jedwali kwa kutumia space tab.

Luteni;

Thanks. Job well done. Bahati mbaya sikuiona mapema nikapost tena niliyotumiwa kwnye barua pepe. Nashauri kila wiku kama utaweza uwe unaupadate toka sources mbalimbali na mwisho wa siku say three days kabla ya uchaguzi tunaweza kununua nafasi ya matangazo katika vyombo vya habari na kuitangaza ili wengi wajue kupunguza makali ya hila zinazoweza kujitokeza.
 
yap . still the dr of philosopy anaongozaa but i dont thnk, if that will gonna last until 31 oct coz Tanzanian niwagumu kuwatabili,na nivigumu kujua wanataka nini? kama vile kifimbo cha nyerele kiliwaroga......2naupenda sana umsakini:mmph:
 
Luteni;

Thanks. Job well done. Bahati mbaya sikuiona mapema nikapost tena niliyotumiwa kwnye barua pepe. Nashauri kila wiku kama utaweza uwe unaupadate toka sources mbalimbali na mwisho wa siku say three days kabla ya uchaguzi tunaweza kununua nafasi ya matangazo katika vyombo vya habari na kuitangaza ili wengi wajue kupunguza makali ya hila zinazoweza kujitokeza.
Asante Superman nategema ku-update Jumamosi 16/10 na kuongeza baadhi ya polls ambazo wanaJF wamenipatia kama za Gazeti la majira na Radio Free Africa.

Natoa wito kama kuna mtu anajua link yeyote inayotoa average ya wagombea wa urais anaweza kuiweka hapa nikaunganisha matokeo yake. Ila napenda kuwajulisha kwamba mimi sifanyi utafiti ila natoa majumuisho(average) za tafiti na polls zilizofanyika.
 
TOKA TAREHE 12 OCTOBER HADI SASA GAZETI LA MWANACHI LIMEKUWA LIKIENDESHA KURA ZA MAONI , NA HAYA NDO MATOKEO SO FAR..!



poll.png
Kuongoza Tanzania 2010-2015 kura yako utampa nani? Willibrod Slaa - CHADEMA 1960 71.1%
Jakaya Mrisho Kikwete - CCM 653 23.7%
Ibrahim Lipumba - CUF 122 4.4%
Hashim Rungwe - NCCR-Mageuzi 12 0.4%
Mutamwega Mugahywa - TLP 11 0.4%

Number of Voters : 2758



UTAONA KUWA HAKUNA TOFAUTI SAANA NA OPINION POLL YA HAPA JAMVINI...

TAFAUTI NI MATOKEO YA SINAVYETI PAMOJA NA REDET
 
Ningependa kweli kama raia mwema au mwanahalisi wangechapicha hii poll of polls.
Mchambuzi na wenzake watapata magonjwa ya moyo, mjengwa atapata constipation
 
Back
Top Bottom