kilolambwani
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 395
- 75
Ningeshangaa kama yangefanyika hayo maandamano. Nani aandamane, wenyewe kwa wenyewe wananyoosheana kidole na kueleza waziwazi kuwa Kikwete hajafanya lolote, sasa waandamane kwa lipi?
Au wangeandamana kutaka ajibu hoja za chadema, apunguze bei ya sukari, aongeze mishahara ya wafanyakazi n.k.
Au wangeandamana kutaka ajibu hoja za chadema, apunguze bei ya sukari, aongeze mishahara ya wafanyakazi n.k.