kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,214
Yale Maandamano yaliyokuwa yafanyike leo kuunga mkono Hotuba ya JK yamezuiwa na Polisi kwa madai kuwa yatasababisha msongamano kwenye barabara watakazopita.
Nauliza:
Polisi/CCM wameshtukia nini?
Je! Ni ujanja wa kuja kuzuia maandamano yenye tija kutoka Chadema kwa sababu hiyo hiyo?
Nauliza:
Polisi/CCM wameshtukia nini?
Je! Ni ujanja wa kuja kuzuia maandamano yenye tija kutoka Chadema kwa sababu hiyo hiyo?