Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,088
- 6,368
naona kila mtu anatoka kwenye mada ya msingi.polisi wamesema yatasababisha foleni.
ila naona sababu imekuwa ni cdm.
ila naona sababu imekuwa ni cdm.
naona kila mtu anatoka kwenye mada ya msingi.polisi wamesema yatasababisha foleni.
ila naona sababu imekuwa ni cdm.
bahat yao hawakufanya......ngoja nikategue .........
tunaomba wawaachie waanamane kama ni foleni waanzie magomeni to mazense ikishindikana hataa wafanye public rally, tunataka kuwaona maadui wa umma kwa sura zao
Yale Maandamano yaliyokuwa yafanyike leo kuunga mkono Hotuba ya JK yamezuiwa na Polisi kwa madai kuwa yatasababisha msongamano kwenye barabara watakazopita.
Nauliza:
Polisi/CCM wameshtukia nini?
Je! Ni ujanja wa kuja kuzuia maandamano yenye tija kutoka Chadema kwa sababu hiyo hiyo?
obvious
Hawana jipya hao wanaoitwa 'VIJANA WA CCM'. Kwanza siyo vijana wa CCM, ni vijana wa mafisadi. CCM haipo, ilishakufa. Kilichopo ni genge la mafisadi. Hakuna mtu anayeweza kuandamana kuunga mkono wapambe wa mafisadi halafu akajiita ni 'KIJANA WA CCM YA NYERERE'. Hakuna kitu kama hicho. Wapuuzwe kwani ni watoto wa mafisadi, nao ni mafisadi au ndiyo wako darasani wakifundishwa ufisadi ...
teh teh . Hivi ukivaa msuli ndani lazima uvae boxer au . Hii kaliccm walitaka KUKWEA MNAZI NA MSULI!
mkuu mbona sijui kama hawa vilaza wanamaandamano pia!? ni yanini? wanataka nini?Sasa tuwasubiri Clouds FM na Global publishers Biafra. Sijui nao watasingizia nini.
bahat yao hawakufanya......ngoja nikategue .........
Wameandaa tamasha lao viwanja vya biafra kuhamasisha "uzalendo" na kupiga vita "malumbano ya kisiasa". This wkend kama sikosei.mkuu mbona sijui kama hawa vilaza wanamaandamano pia!? ni yanini? wanataka nini?
naona kila mtu anatoka kwenye mada ya msingi.polisi wamesema yatasababisha foleni.
ila naona sababu imekuwa ni cdm.