Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Polisi hawawezi kukurupuka tu kwenda kuuwa. Kwanini husemi ni nani aliamrisha maandamano? Kwa nini husemi ni nani aliamrisha kundi la watu waende polisi wakitokea kwenye mkutano wa chadema? Au yote hayo huyajui?
Acha utapiamlo wa fikra we kijana. Maandamano hayakuamrirhwa na yeyote, bt yaliruhusiwa na polisi tena kwa barua.
Mbona hutaki kuuliza nani alitoa barua ya kuruhusu? Mbona hutaki kuuliza nani alitoa amri ya polisi kuua? Mbona hutaki kuhoji polisi wanatumia fedha za nani kujisafisha kupitia video wanazochakachua?
Au yote huyaoni??