Ni wana CHADEMA ? kama ni wao kwa wao CCM haina shida.
Tutaanza kujali pale yakifika majumbani kwetu YAKATUHUSU! Tunapenda kushabikia TAUNI ikiingia kwa JIRANI kwa maana IMEMKOMESHA.. bila kutazama na kukumbukwa kwamba TAUNI ikiingia ITAMALIZA MJI MZIMA!Lazima tujali na kuthamini maisha ya mtu bila kujali chama anachoshabikia.
Ni wana CHADEMA ? kama ni wao kwa wao CCM haina shida.
Lazima tujali na kuthamini maisha ya mtu bila kujali chama anachoshabikia.