SOBY
JF-Expert Member
- Sep 19, 2011
- 1,268
- 457
Yes sir!, especialy while staging an illegal demonstration/assembly.Kwani kuna kosa lolote la kisheria la mtu kukutwa na bastola au risasi?
Yes sir!, especialy while staging an illegal demonstration/assembly.Kwani kuna kosa lolote la kisheria la mtu kukutwa na bastola au risasi?
Tena ningekuwa nayo mimi nisingemwacha mtu mnadhani mnazonyie tu hata sisi tunazo ila hatupendi kujionyesha iko siku tutazitoa na hapo ndipo mtakapo tafuta pakutokea mmezidi kuonea.....Hii habari ni sumu humu JF sasa hivi Mods wataitoa waichanganye na thread zingine...
Dr Slaa risasi 17 unakwenda vitani?
Kosa la kukutwa na bastol fine yake ni Tshs. laki moja. Si mnakumbuka yule Msomali Rage alipanda nayo jukwaani kabisa kule Igunga
Mi sina cheo chcht ila namiliki silaha kihalali sembuse dr. Slaa, HUYU ALITAKIWA AMILIKI AKA 47 mana anawidwa sn.
tafadhali mi sihitaji ban toa huu ushuzi wk ulioupost hapaMuambiwe kwani picha ilionesha risasi? Kwanza asingefotolewa wala msingeisikia! Dr Slaa aombe radhi kama Rage yaishe! Nchi ya amani hii.
Acha kuwa na mawazo finyu km ya Lusinde,hv kumiliki bastola ni kosa?we kwel kilaza