dosama
JF-Expert Member
- Dec 25, 2010
- 912
- 957
Huyu Slaa, ex padri na silaha? ama kweli dunia imekwisha.
Faiza Foxy una element za udini na najua ndo unavyofundishwa ubaguzi na viongozi wako wa kimwili na ki................. mbungu isahau
Huyu Slaa, ex padri na silaha? ama kweli dunia imekwisha.
Slaa Daktari wa Kanoni, Padri mstaafu wa Kanisa Katoliki, mara tuu baada ya kugunduwa kuwa wamezingirwa na Polisi, alichopoka kijaasusi na kujificha ndani ya gari. Baadhi ya vijana ambao ni macho na masikio ya ziada ya polisi waliojichanganya na wakeshaji, wakawatonya makachero waliovamia hapo alfajiri kuwa "Slaa yupo kwenye gari lile pale".
Mwenyewe Slaa kwa uzoefu wake wa kijasusi, alijuwa ame "save" inasemekana alikutwa kakilaza kiti cha gari ki "James Bond" ili asionekane. Vijana hawakuzugika na inasemekana waliufunguwa mlango huo wa gari kimaajabu, na ndipo Slaa akatoka huku kaweka mikono kichwani, kukaguliwa haraka haraka akakutwa na bastola Walther Pistol T2-CAR-61074-327963 ambayo mpaka sasa inashikiliwa na polisi kuthibitishwa kama alikuwa anaimiliki kihalali.
Nakupa heko Slaa kwa ukomando, lakini kumbuka, miaka imekutupa mkono, ujasusi wako ilikuwa zamani, sasa kuna vijana hao sio kawaida.
Polisi mkoani Arusha wanadai kuwa baadhi ya wana-CHADEMA waliokuwa kwenye Mkesha wa NMC jumatatu usiku walikuwa na silaha za moto.
Kaimu Kamanda, Akili Mpwapwa amesema kuwa Dr Wilbroad Slaa alikutwa na Bastola "Walther Pistol T2-CAR-61074-327963" wakati alipokamatwa na Bwana Daniel Ezekiel Ogongo ambaye pia alikamatwa kwenye tukio hilo akidaiwa kuwa na 'Pietro Beretta H-447577 CAT5802'
Cha kushangaza ni kwamba wakati Polisi ikiwaburuza mahakamani wafuasi wa CHADEMA wale wanachama wa CCM ambao wiki kadhaa zilizopita walikutwa na kosa hilo hilo la kuandamana na kufanya mikutano bila kibali mjini Arusha ‘wamesamehewa' na kupewa ‘onyo kali!'
Polisi wamekiri kuwa pamoja na kwamba wakeshaji pale NMC walikuwa hawajajiandaa na walipovamiwa walikuwa tayari wamechoka kwa kuimba usiku kucha, bila chakula na kwenye mvua na baridi kali bado wasingeweza kuwadhibiti na hivyo kulazimika kutumia magari nane pamoja na lile lori lenye maji ya kuwasha.
Na haikuwa rahisi pia, pamoja na zana zote hizo.
Kama wana akili wangetakiwa kujua kuwa hakika hali inaenda kuwa mbaya.
Usifanye kosa lolote la jinai ukiwa na silaha.Nahoji tu unapopewa bastola unatakiwa umwachie mkeo akushikie AMA ni kwa ulinzi wako binafsi? Hakuna kesi hapa ni sifa za kijinga tu.
..........ndio uvivu wa kutumia akili unapojitokeza hapa, kwani kukutwa na pistol ni dhambi/kosa? suala hapa ni kwamba hiyo pistol inamilikiwa kihalali/kisheria au la, jambo ambalo hata yule Mpwampwa au whatever they him hakutolea ufafanuzi, najua ni kwa makusudi kwa kujuia watz wengi tunakurupuka kimasaburi saburiPolisi mkoani Arusha wanadai kuwa baadhi ya wana-CHADEMA waliokuwa kwenye Mkesha wa NMC jumatatu usiku walikuwa na silaha za moto.
Kaimu Kamanda, Akili Mpwapwa amesema kuwa Dr Wilbroad Slaa alikutwa na Bastola Walther Pistol T2-CAR-61074-327963 wakati alipokamatwa na Bwana Daniel Ezekiel Ogongo ambaye pia alikamatwa kwenye tukio hilo akidaiwa kuwa na Pietro Beretta H-447577 CAT5802
Cha kushangaza ni kwamba wakati Polisi ikiwaburuza mahakamani wafuasi wa CHADEMA wale wanachama wa CCM ambao wiki kadhaa zilizopita walikutwa na kosa hilo hilo la kuandamana na kufanya mikutano bila kibali mjini Arusha wamesamehewa na kupewa onyo kali!
Polisi wamekiri kuwa pamoja na kwamba wakeshaji pale NMC walikuwa hawajajiandaa na walipovamiwa walikuwa tayari wamechoka kwa kuimba usiku kucha, bila chakula na kwenye mvua na baridi kali bado wasingeweza kuwadhibiti na hivyo kulazimika kutumia magari nane pamoja na lile lori lenye maji ya kuwasha.
Na haikuwa rahisi pia, pamoja na zana zote hizo.
Kama wana akili wangetakiwa kujua kuwa hakika hali inaenda kuwa mbaya.
Mkutano ule ulkuwa halali. Wa NMC ulikuwa siyo wa halal baada ya jua kuchwea.Kumiliki bunduki mbona ni kitu cha kawaida sana hasa kwa mtu ambaye ni public figure kama dr. slaa. Kitu cha msingi awe anamiliki kihalali slaha hiyo....Jambo la kumuhoji kwa nini alienda na silaha kwenye mkusanyiko kama ule halina mshiko kwa sababu hata ismail aden rage alienda na silaha kwenye mkusanyiko wa kampeni igunga.
Kamanda MBOWE mbona alisepa na kuteleza kama kambale tofauti na kauli zake za nguvu pepoooooooooooooo pawa, Binafsi nilidhani angeonyesha ukakamavu kwa wafuasi wake kwa kubaki uwanjani mpaka akamatwe
Faiza Foxy una element za udini na najua ndo unavyofundishwa ubaguzi na viongozi wako wa kimwili na ki................. mbungu isahau[/QUOTE
Faiza kaahaidiwa pepo na wanaume arobaini walioshiba kama shwarzenigger siku akijilipua! Kaa nae mbali!
Nini cha ajabu hapa, au kwa vile Dr. Slaa ni CHADEMA. Mbona kuweka silaha kiounoni kwenye mikutano ni kawaida tu Bongo. Mbona Rage kule Igunga haikuwa issue kuwa na pistol kwenye mkutano wa Hadhara.
Acheni ujinga nyie POLICCM.
Hii habari ni sumu humu JF sasa hivi Mods wataitoa waichanganye na thread zingine...
Dr Slaa risasi 17 unakwenda vitani?