Mwanajamii
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 7,063
- 68
kumbe Dr Slaa ni msomali na pacha wa Ismael Aden Rage wote wanatembea na Silaha kiunoni wametoka bila bila
Jamaa mayai!!, Alipoulizwa kwanini hajawakilisha mahesabu ya mali zake, alisema kesi zake zinampa stress.Kamanda MBOWE mbona alisepa na kuteleza kama kambale tofauti na kauli zake za nguvu pepoooooooooooooo pawa, Binafsi nilidhani angeonyesha ukakamavu kwa wafuasi wake kwa kubaki uwanjani mpaka akamatwe
Nina wasiwasi na ukweli wa kamanda wa polisi. Maana swala la kubambikwa kesi huko polisi limekuwa ni jambo la kawaida!
Ni jana tu tumeambiwa ukombozi utaanzia Arusha mbona sasa nasikia sauti za vilio vya wafuasi wa chadema wameshindwa kuiteka benghaz?
Acha uongo wako wa KISHOGA wewe,sikiliza taarifa vizuri.Polisi mkoani Arusha wanadai kuwa baadhi ya wana-CHADEMA waliokuwa kwenye Mkesha wa NMC jumatatu usiku walikuwa na silaha za moto.
Kaimu Kamanda, Akili Mpwapwa amesema kuwa Dr Wilbroad Slaa alikutwa na Bastola Walther Pistol T2-CAR-61074-327963 wakati alipokamatwa na Bwana Daniel Ezekiel Ogongo ambaye pia alikamatwa kwenye tukio hilo akidaiwa kuwa na Pietro Beretta H-447577 CAT5802
Cha kushangaza ni kwamba wakati Polisi ikiwaburuza mahakamani wafuasi wa CHADEMA wale wanachama wa CCM ambao wiki kadhaa zilizopita walikutwa na kosa hilo hilo la kuandamana na kufanya mikutano bila kibali mjini Arusha wamesamehewa na kupewa onyo kali!
Polisi wamekiri kuwa pamoja na kwamba wakeshaji pale NMC walikuwa hawajajiandaa na walipovamiwa walikuwa tayari wamechoka kwa kuimba usiku kucha, bila chakula na kwenye mvua na baridi kali bado wasingeweza kuwadhibiti na hivyo kulazimika kutumia magari nane pamoja na lile lori lenye maji ya kuwasha.
Na haikuwa rahisi pia, pamoja na zana zote hizo.
Kama wana akili wangetakiwa kujua kuwa hakika hali inaenda kuwa mbaya.
Kamanda MBOWE mbona alisepa na kuteleza kama kambale tofauti na kauli zake za nguvu pepoooooooooooooo pawa, Binafsi nilidhani angeonyesha ukakamavu kwa wafuasi wake kwa kubaki uwanjani mpaka akamatwe
Bora polisi wamemuwahi kabla hajaleta madhara.
Kwa niaba ya uongozi wa CHADEMA ukombozi umeshindika tunaomba radhi kwa Rais kikwete hatutarudia tena kukusanyika kama Libya tunajuta
Kwani Bastola ni Bunduki?Na je alikutwa nazo zote 2 yeye mwenyewe?Mbona heading ya post yako inatofautiana na ulichokiandika?MASABURI MENGINE BWANA..?Polisi mkoani Arusha wanadai kuwa baadhi ya wana-CHADEMA waliokuwa kwenye Mkesha wa NMC jumatatu usiku walikuwa na silaha za moto.
Kaimu Kamanda, Akili Mpwapwa amesema kuwa Dr Wilbroad Slaa alikutwa na Bastola Walther Pistol T2-CAR-61074-327963 wakati alipokamatwa na Bwana Daniel Ezekiel Ogongo ambaye pia alikamatwa kwenye tukio hilo akidaiwa kuwa na Pietro Beretta H-447577 CAT5802
Cha kushangaza ni kwamba wakati Polisi ikiwaburuza mahakamani wafuasi wa CHADEMA wale wanachama wa CCM ambao wiki kadhaa zilizopita walikutwa na kosa hilo hilo la kuandamana na kufanya mikutano bila kibali mjini Arusha wamesamehewa na kupewa onyo kali!
Polisi wamekiri kuwa pamoja na kwamba wakeshaji pale NMC walikuwa hawajajiandaa na walipovamiwa walikuwa tayari wamechoka kwa kuimba usiku kucha, bila chakula na kwenye mvua na baridi kali bado wasingeweza kuwadhibiti na hivyo kulazimika kutumia magari nane pamoja na lile lori lenye maji ya kuwasha.
Na haikuwa rahisi pia, pamoja na zana zote hizo.
Kama wana akili wangetakiwa kujua kuwa hakika hali inaenda kuwa mbaya.
kama mahabusu ni kuzuri Dr Balaa akapate kusimuliwa na Lema. Lema alikataa dhamana akidhani kuna mahabusu ya wabunge kumbe mahabusu hakuna sheria wakikutamani wanajichukulia kwa nguvu alipotaka kutoka wafungwa wameomba aendelee kubaki
vp mmeo hana silaha? Maana naskia wagunya mnapenda sana silaha na kupuliza
Kwa niaba ya uongozi wa CHADEMA ukombozi umeshindika tunaomba radhi kwa Rais kikwete hatutarudia tena kukusanyika kama Libya tunajuta
Bora polisi wamemuwahi kabla hajaleta madhara.
hakuna haja ya kulalamika walitangaza kulala siku saba na polisi wakatangaza kuwa hamtalala siku saba
Tetesi: Inasemekana Faiza Fox "Ana mbili".Hana mume huyo kaoa mwanamke mwenzie
Udini wako utakufikisha pabaya Faiza. Kama ndo kutumikia mabwana wako,basi huko chini kishakuwa sugu. .
Kosa la kukutwa na bastol fine yake ni Tshs. laki moja. Si mnakumbuka yule Msomali Rage alipanda nayo jukwaani kabisa kule Igunga