Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

Kuhusu watu kuadhibiwa kula hadharani ZANZIBAR hilo naliunga mkono. Imani za watu ziheshimiwe

Unajua nashindwa kuelewa watu wanatokwa na povu kwa suala dogo kama hili kwani haswa wakati taratibu za wenzetu zipo wazi?

ZANZIBAR hakuna aliyelazimishwa kufunga ispokua utaratibu wa kule unakataza mtu kula hadharani hasa kipindi hiki cha Mwezi mtukufu wa Ramadhan

Na mnajua ZANZIBAR asilimia 99.999 ni waislam, na lazima tamaduni za watu ziheshimiwe kama unataka kula mchana we kula tu lakini sio vizuri kula hadharani maana yake utakua unafundisha nini jamii?

Kwa huku bara hata mtu ukila ni sawa tu maana humu tumechanganyikana watu wa dini tofauti ZANZIBAR wengi ni waislam na nashangaa watu mnatokwa na mapovu kwenye hili

Ni ushetani mkubwa kutokua na haya na kwenda kula public mwezi wa ramadhan katika jamii ambayo ni waislam watupu kwanini usitafute mahala kwako au ndani kwako ukala?Kwanini ule hadharani?

Kuna mtu kahoji kwahiyo mbona sisi kwaresma huwa hatuwagusi waislam ambao unakuta hawajafunga?Swali ni mkristo yupi anafungaga kwaresma?Mimi nimekulia sehemu zenye Christian majority sijawahi kuona mtu kafunga hata kwa bahati mbaya....Kwahyo msipende kucompare dini za watu, kama mnaridhika imani zenu kuchezewachezewa kwasababu zishakua "imani cheap" ni nyie ila sio uislam.

Uislam sio dini ya masihara na mchezomchezo ndo maana ndo dini inakua kwa kasi kidunia na ipo tokea karne pamoja na kupigwa vita vya kimwili na kiroho.Watu washaacha dini yao ishaharibiwa huko na kuchezewa vya kutosha sasa wanataka uislam iwe dini ya hivyo hilo No!!

Mnaotokwa na mapovu kuhusu sakata la kula kumbukeni ZANZIBAR asilimia 99 ni waislam kwahyo tamaduni za walowengi ziheshimiwe..

Kama ulikua na mikiu yako ya kula minguruwe yako ungeenda kujifungia ndani ule kwa raha zako!! Msipende kuwaponza waliofunga!!Mimi naunga mkono wachapwe tu.kila mtu aheshimu imani ya mwenzake kama ambavyo yake huheshimiwa.

Binafsi yangu nimeishi kwenye jamii nyingine ambazo ni za imani tofauti na mimi au tamaduni tofauti ila nilifanikiwa pakubwa kuishi nao kwasababu niliishi kwa kutii taratibu zao na mambo yalienda vizuri tu.
Mwanadamu anapigania dini ya Mungu wake.Kwa Nini Mungu mwenye uwezo asiwaadhibu hao wanaokula kinyume na maamrisho yake?
 
zanzibar wasituletee udini, huko sisi tumevuka tunapambana na ujinga mwingine....tusirudishane nyuma, kama mnataka mfunge muwe mnaishi misikitini hadi muumalize mwezi, msije mtaani mkazurula muone watu wakila bata halafu mimate iwajae bure, kama vipi msifunge pigeni misosi maana kula si dhambi, muache uongo, uizi, uzinzi, na madhambi mengine tu
 
Ila sisi ni wazi tunapinga,wewe ntafutie kiongozi wa KIISLAM ambae ana SAPOTI Ujinga kama huo,haya PAPA yenu kasema mfumuane huko,haya peleka sehemu za kutolea haja kubwa ukafumuliwe.
Unaweza kutuelezea afande Rama kafumuliwa kwa amri ya Nani? Maana Nina uhakika hajawai kukanyaga kanisani.
 
Unaweza kutuelezea afande Rama kafumuliwa kwa amri ya Nani? Maana Nina uhakika hajawa kukanyaga kanisani.
Allah atuepushe kwa dhambi kubwa na dhambi ndogo,Asili ya jina la Ramadhani ni MUISLAM aliefanya hilo swala kutokana na asili yake ni MUISLAM kwa kuwa sijawahi kusikia mtu nje ya Dini tukufu ya KIISLAM anaitwa Ramadhani,Hakuna sehemu yoyote ile katika Uislam na mafundisho yake yote yanayo ruhusu jinsia moja kuingiliana,tumesha onywa kwa mifano mingi sana mfano watu wa Nabii Luti hivyo kwa yoyote yule anae fanya{kuingilia/kuingiliwa} basi Uislam ulishatoa Huku zake, Tanzania/Zanzibar zingekuwa zinatumia Sheria za KIISLAM basi huyo na wengineo adhabu yao ni kifo kwa sababu hawastahili kuishi wakiendelea kuishi wataharibu vizazi vyengine.


Allah anajua zaidi
 
yaani kumbe huwa mnatuweka kwenye kapu moja, mnakosea sana. wakatoliki wenyewe hawajawahi kutuweka kwenye kapu lao. kumbe hujui unachokiongea.
Nyie wote itabidi make kwenye Uzi mmoja kati nani ni mkweli Yani nani ni MKRISTU na nani ni MKRISTO,kisha mkishapata mkishapata jibu mje kwangu tena.
 
nimemwabudu Mungu tangu asubuhi, nimewapa watoto wangu nafasi nzuri ya kula chakula safi wanachopenda, tangu saa kumi na moja nipo nimepumzika. kinachoniuma ni kwamba, pamoja na kwamba wakristo wenzangu zanzibar wamemaliza mfungo wa kwaresma (pamoja na kwamba mimi sio mkwaresma, nimeokoka), hawafungi, hawataruhusiwa kula kwasababu tu muislam hajafuturu. huu ndio ushetani tunaousema, nawaombea kwa Mungu wavumilie utumwa huu kutoka kwa dini ya adui shetani.
Sasa mbona hapa mnajinasibu wote kwenye KAPU LA KRISTO?
 
Kwani katiba ya jamhuri ya muungano inasemaje hapo ndio africa tunaponekana hatujielewi sheria inasema nchi haifuiti mrengo wowote wa dini ila kinachoendelea kinashangaza sana kuna kipindi Mtikila alikuwa anaenda zanzibar na anakula na hakuna aliyekuwa anamkamata maana walijua angefungua kesi ya kikatiba.
 
Dini zote na makandokando yake ni matokeo ya ujinga na zinakumbatiwa na watu majinga kwaio hata maamuzi yake ni ya kijinga.
 
sema waroma wameuwa kuliko wengine, ila sio wakristo. wapi wameuwa tueleze? wapi wakristo wanachapa watu wengine wasiofunga, wapi wanajitoa mhanga, wapi wanavikundi vya al shabab, wapi wanaamriwa kuua wasio wakristo.
Usikimbie jamaa.Waroma kina nani au waroma wapagani??
Waroma si ndio wameanzisha catholic??
Hao alshabaab tulishakusihi huo ni mlengwa wa kisiasa kabila la Mahara Somalia linapigana kwa mlengwa wa kiutawala kama ilivyo tigrinya walivyopigana Tigrey Ethiopia.
Pia ushaelezwa juu sheria hiyo ya wazanzibari sio ya waislam.
Ngojea nikutajie wakristo wameua wapi.
1)Crusade war.
2)World war 1&2.
3)Scramble and partition of Africa.
4)Iraq invasion during Saddam Hussein era.
5)Korean war 1950s.
6)Opium war 1&2.
7)Germany genocide against jews.
8)Regime change Libya,Syria,Egypt,Yemeni,Haiti.
Sema katika vita vyote hivyo waislam wanahusika??
 
Unaweza kutuelezea afande Rama kafumuliwa kwa amri ya Nani? Maana Nina uhakika hajawai kukanyaga kanisani.
Kuna sheria za uislam na matakwa ya kibinadamu.
Afande Rama kafanya matakwa yake ila dini haijaruhusu kwahiyo shauri yake.
 
Back
Top Bottom