Polisi wa Zanzibar kuwakamata watu kisa kuwakuta wakila mchana kipindi cha Ramadhan ni uvunjifu wa sheria za Nchi

Zanzibar sio Nchi inayoongozwa na Sheria za Kiislamu, Zanzibar ni nchi inayoongozwa na katiba huru.

Inakuwaje unamkamata mtu kwa sababu ya kutokufunga Ramadhan, ni wapi kwenye katiba wamesema kwamba usipofunga inapaswa kuswekwa Ndani. Mkianza kutuletea sheria za kiarabu Kwenye ardhi za Tanzania basi kuna uwezekano mkaleta pia mambo ya Udini na vikundi vyenye itikadi kali kama ilivyo kwenye majimbo ya Nchi ya Nigeria yanayoongozwa na sheria kali za kiislamu. Na maeneo hayo hayo ndio makazi ya vikundi kama Boko Boys au Boko Haram.

Uwezi kumlazimisha mtu kufunga kwa sababu hiyo ni kati yake yeye na MUNGU wake, ukimpazimisha mtu kufunga kama hajasadiki au kuridhia ni sawa na kutwanga maji tu kwa sababu hatopata swawabu yoyote kwa mujibu wa imani ya kiislamu atafunga kwa kuwaridhisha watu tu. Mwili ni wake, mbona hakikosa chakula hamuwapelekei kuwalazimisha wale kama jinsi mnavyowalazimisha kushinda njaa.

Badala ya kushurutisha watu kushinda njaa kwa lazima, wafundisheni misingi ya Dini ya kiislamu na wafundisheni umuhimu wa mfungo wa ramadhani hili mtu atambue umuhimu wa kufunga na afunge kiroho safi.

Sheria hiyo ya kamata kamata watu wasiofunga inakiuka haki za mtanzania na vifungu vya katiba.

Pia Soma:
- Watu 12 wakamatwa kwa kula hadharani mchana Zanzibar
Zanzibar ni nchi huru yenye, tamaduni, mila na desturi zake. Pia sheria kanuni na katiba yake, wewe kama nani uwaingilie?
 
Tunakuja pale pale katika ushoga.
Qur'an ilieleza katika suratul Hud ayah kuanzia ya 79 mpaka 84 jinsi watu wa Sodoma na Gomora Mungu alivyowaadhibu.
Hivyo ushoga katika uislam ni dhambi.
Tunarudi tena hadithi zako hazina ithbati maana zinapingana na USHAHIDI MAMA AMBAO NI QUR'AN.
View attachment 2950178View attachment 2950179
Kwa hiyo mimi ndie nilitunga hizo hadith 🤣🤣🤣
Mtume wako alimnyonya uume Hassan kumbuka🤣🤣
 
Mwisho nikuambie kitu kimoja.
Katika uislam ili hadithi ijulikane dhaifu ama sahihi kuna mambo mawili.
Kwanza kuna qatwiyu thubuti na kuna qatwiyu dilalah.
Yani hadithi inatakiwa iwe imepata mapokezi ya wanazuoni au maswahaba wakubwa pili INATAKIWA ISIPINGANE NA QUR'AN PAMOJA NA WASIFU WA MTUME.
UKIONA HADITHI INAPINGANA NA QUR'AN HIYO DHAIFU YA KUTUNGA NA MTUME HAKUISEMA WALA KUIISHI.
KWA MUJIBU WA VIPIMO ULIVYOLETA HADITHI ZAKO ZOTE BATILI ZINAPINGANA NA QUR'AN.
Kuhusu utumwa nenda kamsome BILAL IBN RABBAH AMBAYE ALIOKOLEWA TOKA UTUMWANI NA MTUME KUPIGA MBIU KUVUNJA UTUMWA.
UISLAM HAUKUBALI UTUMWA.
Ndiovyo unavyoamini wewe sio mimi.
Hadith zilizoandikwa na maswahaba wa mtume ziko valid tu kama nyie mnavyojumuisha wakristo wote na ushetani wa papa. Mkitaka tusizitanbue hizo hadith inabidi na nyinyi mtambue papa sio kiondozi wa wakristo bali ni kiongozi wa waroma.
 
Zanzibar sio Nchi inayoongozwa na Sheria za Kiislamu, Zanzibar ni nchi inayoongozwa na katiba huru.

Inakuwaje unamkamata mtu kwa sababu ya kutokufunga Ramadhan, ni wapi kwenye katiba wamesema kwamba usipofunga inapaswa kuswekwa Ndani. Mkianza kutuletea sheria za kiarabu Kwenye ardhi za Tanzania basi kuna uwezekano mkaleta pia mambo ya Udini na vikundi vyenye itikadi kali kama ilivyo kwenye majimbo ya Nchi ya Nigeria yanayoongozwa na sheria kali za kiislamu. Na maeneo hayo hayo ndio makazi ya vikundi kama Boko Boys au Boko Haram.

Uwezi kumlazimisha mtu kufunga kwa sababu hiyo ni kati yake yeye na MUNGU wake, ukimpazimisha mtu kufunga kama hajasadiki au kuridhia ni sawa na kutwanga maji tu kwa sababu hatopata swawabu yoyote kwa mujibu wa imani ya kiislamu atafunga kwa kuwaridhisha watu tu. Mwili ni wake, mbona hakikosa chakula hamuwapelekei kuwalazimisha wale kama jinsi mnavyowalazimisha kushinda njaa.

Badala ya kushurutisha watu kushinda njaa kwa lazima, wafundisheni misingi ya Dini ya kiislamu na wafundisheni umuhimu wa mfungo wa ramadhani hili mtu atambue umuhimu wa kufunga na afunge kiroho safi.

Sheria hiyo ya kamata kamata watu wasiofunga inakiuka haki za mtanzania na vifungu vya katiba.

Pia Soma:
- Watu 12 wakamatwa kwa kula hadharani mchana Zanzibar
 
Zanzibar sio Nchi inayoongozwa na Sheria za Kiislamu, Zanzibar ni nchi inayoongozwa na katiba huru.

Inakuwaje unamkamata mtu kwa sababu ya kutokufunga Ramadhan, ni wapi kwenye katiba wamesema kwamba usipofunga inapaswa kuswekwa Ndani. Mkianza kutuletea sheria za kiarabu Kwenye ardhi za Tanzania basi kuna uwezekano mkaleta pia mambo ya Udini na vikundi vyenye itikadi kali kama ilivyo kwenye majimbo ya Nchi ya Nigeria yanayoongozwa na sheria kali za kiislamu. Na maeneo hayo hayo ndio makazi ya vikundi kama Boko Boys au Boko Haram.

Uwezi kumlazimisha mtu kufunga kwa sababu hiyo ni kati yake yeye na MUNGU wake, ukimpazimisha mtu kufunga kama hajasadiki au kuridhia ni sawa na kutwanga maji tu kwa sababu hatopata swawabu yoyote kwa mujibu wa imani ya kiislamu atafunga kwa kuwaridhisha watu tu. Mwili ni wake, mbona hakikosa chakula hamuwapelekei kuwalazimisha wale kama jinsi mnavyowalazimisha kushinda njaa.

Badala ya kushurutisha watu kushinda njaa kwa lazima, wafundisheni misingi ya Dini ya kiislamu na wafundisheni umuhimu wa mfungo wa ramadhani hili mtu atambue umuhimu wa kufunga na afunge kiroho safi.

Sheria hiyo ya kamata kamata watu wasiofunga inakiuka haki za mtanzania na vifungu vya katiba.

Pia Soma:
- Watu 12 wakamatwa kwa kula hadharani mchana Zanzibar
Hii ni hoja ya msingi sana kuishikilia Bango kubwa kwa sasa ili kukomesha hayo mambo ya kipumbavu yanayoendelea. Huku Durban yakitokea mambo ya kisenge kama haya wasouth wataua mtu.
 
Usihusishe tukio hilo na waislam wote.
Kuweni na adabu na akili.
Waislam wengi tupo vizuri na tuna establish sheria nzuri.
La Zanzibar sio la waislam.
Mmesikia ninyi wagalatia?
Mtego wa samaki hauchagui. Mbona nyie hamtofautishi wakristo
Bro MSIHUSISHE SHERIA YA ZANZIBAR NA SHERIA YA UISLAM.
ZANZIBAR SHERIA HIYO WAMEJITUNGIA WAO KWA MATAKWA YAO ILA UISLAM HAUSEMI HIVYO.
 
Tena wabarikiwa kabisa😂
50bcd6cc8b1459952d3f07dca6d61249.jpg
 
Zanzibar sio Nchi inayoongozwa na Sheria za Kiislamu, Zanzibar ni nchi inayoongozwa na katiba huru.

Inakuwaje unamkamata mtu kwa sababu ya kutokufunga Ramadhan, ni wapi kwenye katiba wamesema kwamba usipofunga inapaswa kuswekwa Ndani. Mkianza kutuletea sheria za kiarabu Kwenye ardhi za Tanzania basi kuna uwezekano mkaleta pia mambo ya Udini na vikundi vyenye itikadi kali kama ilivyo kwenye majimbo ya Nchi ya Nigeria yanayoongozwa na sheria kali za kiislamu. Na maeneo hayo hayo ndio makazi ya vikundi kama Boko Boys au Boko Haram.

Uwezi kumlazimisha mtu kufunga kwa sababu hiyo ni kati yake yeye na MUNGU wake, ukimpazimisha mtu kufunga kama hajasadiki au kuridhia ni sawa na kutwanga maji tu kwa sababu hatopata swawabu yoyote kwa mujibu wa imani ya kiislamu atafunga kwa kuwaridhisha watu tu. Mwili ni wake, mbona hakikosa chakula hamuwapelekei kuwalazimisha wale kama jinsi mnavyowalazimisha kushinda njaa.

Badala ya kushurutisha watu kushinda njaa kwa lazima, wafundisheni misingi ya Dini ya kiislamu na wafundisheni umuhimu wa mfungo wa ramadhani hili mtu atambue umuhimu wa kufunga na afunge kiroho safi.

Sheria hiyo ya kamata kamata watu wasiofunga inakiuka haki za mtanzania na vifungu vya katiba.

Pia Soma:
- Watu 12 wakamatwa kwa kula hadharani mchana Zanzibar
Unajuwa kabisa unapotosha Watu. Sheria inakataza kula hadharani kipindi Cha mfungo. Hulazimishwi kufunga Sababu Kuna Imani tofauti na Uislam pia Kuna wenye Udhuru Mbalimbali wanakuwa hawajafunga.
 
Waroma ndio wakristo wenyewe wao ndio wametunga story zote mpka za utatu mtakatifu wao ndio wamezipanga tena kwa kura, siku ya jpili. Na utunzaji wa biblia na kufanya edit ni wao ,wewe sijui unazungumzia wakristo wepi.
Hao ni waroma.
Unajua maana ya mkristo?
Unafahamu kabla ya ronam catholic kuja ukristo ulikuwepo?
Unajua lengo la kuanzishwa roman Catholic?
 
Tanganyika hatuna katiba hatuna Bendera, Hatuna Rais. Wenzetu Zanzibar Wana Katiba,Wana Bendera, Wana Rais, Wana Wimbo wa Taifa. Hii Sababu ya Ujinga wetu
 
Kuna majaribu lukuki ktk huu ulimwengu, hili tu ndio mmeamua kulivalia njuga? Hopeless..
Mkuu,

Unataka kumpangia mtu aliyekanyagwa vidole kwenye daladala asiseme kwamba kakanyagwa vidole, kwa kuwa kuna watu wameuawa na majambazi?

Kwani haiwezekani yote yakasemwa?

Kwa nini wewe unajiona unafaa kuwapangia watu majaribu gani wayaseme na yapi wasiyaseme?
 
Ndiovyo unavyoamini wewe sio mimi.
Hadith zilizoandikwa na maswahaba wa mtume ziko valid tu kama nyie mnavyojumuisha wakristo wote na ushetani wa papa. Mkitaka tusizitanbue hizo hadith inabidi na nyinyi mtambue papa sio kiondozi wa wakristo bali ni kiongozi wa waroma.
😂😂😂😂😂😂Kumbe unalazimisha hoja!?
Kisa sie waroma twawajumuisha na wakristo wote??
Aisee sie mambo yetu yako wazi.
Ukileta hadithi haina ithbati na Qur'an hiyo na wasifu wa mtume ni feki.
Kwani unadhani kina nani wameweka hiyo taratibu ya mchujo kama sio wanazuoni waliokuwepo baada mtume kufa??
 
Kuwa matakwa yake haimuondoi kuwa mwislam.
Sheria ya uislam iko wazi.
Ukileta matakwa mbele ya sheria basi wewe umekufuru laa sivyo uombe msamaha na utamke shahada tena.
Au hujui hilo!?
Sheria ya uislam haipo hivyo kama usemavyo au utakavyo,ukiikiuka tu umeshatoka kundini ili urudi tubu na tamka shahada upya.
 
Back
Top Bottom